Saturday, July 11, 2015

Greece debt crisis. Eurozone ministers to decided on bailout

Greece debt crisis: Eurozone ministers to
decide on bailout
11 July 2015 Europe
The new proposals faced opposition from some in the Greek
parliament
Eurozone finance chiefs are gathering in Brussels for a
meeting that could decide whether new Greek proposals are
sufficient to secure a third bailout and prevent a possible
eurozone exit.
Greece's parliament overnight backed PM Alexis Tsipras's
new package.
But he faced anger from some in his own party for proposing
measures that were rejected in a referendum last Sunday.
Some creditors gave an initially positive reaction to the plans
but a bailout agreement is far from certain.
Follow the latest updates here
The creditors - the European Commission, European Central
Bank and International Monetary Fund - have sent a first joint
assessment to the eurozone ministers.
"Under certain conditions, they jointly see the proposals as a
basis for negotiation," an EU official told Reuters.
Greece is asking creditors for €53.5bn ($59.47bn; £38.4bn)
to cover Greece's debts until 2018, but the amount of the
new bailout could reach €74bn, as Greece is seeking a
restructuring of its massive debt, which it says is
unsustainable.
At the scene: Jasmine Coleman, BBC News, Athens
Punters are watching for their numbers on TV screens
outside a betting cafe in central Athens. Next to broadcasts
of motorbike racing, lottery draws and athletics, TV
commentators give the latest on the debt crisis.
But George Vassis, 45, is not betting on the politics. "Who
knows what will happen?" he asks. Like many here, he is
weary after months of talks and economic decline.
He runs a business information company and wants an end
to the current deadlock. "Something must be done. The
measures the government is offering are bad, but it's the
only way to go forward."
Mr Tsipras has faced backlash to his proposals, but for
George much of the damage has already been done. His
company will have to make redundancies either way - he is
just waiting to find out how many.
Will a deal be reached?
Did Greeks really fail to pay 89.5% of taxes?
Of the €74bn, €58bn could come from the EU's bailout fund,
the European Stability Mechanism , with €16bn from the
IMF, sources said.
Greece's creditors have already provided more than €200bn
in two bailouts over the past five years. The second expired
on 30 June, when Greece fell into arrears on an IMF loan.
A euro working group began a technical revue of the new
proposals in Brussels on Saturday morning.
The 19 eurozone finance ministers will review the proposals
afterwards and decide whether they form the basis for a new
loan deal, and whether to supply Greece with interim
funding.
There will then be a meeting of Eurogroup leaders in
Brussels on Sunday afternoon, followed two hours later by a
full meeting of EU leaders.
Although the new package has drawn support from the likes
of France and Italy, the reaction from Germany, which is
more exposed to Greek debt, has been more subdued.
One EU source told Agence France-Presse the new Greek
plan stood only a "50-50" chance of approval on Saturday.
Crisis countdown
11 July: Eurozone finance ministers discuss plans
(Brussels 13:00 GMT)
12 July: Eurogroup leaders meet (14:00 GMT) followed
by summit of all 28 members of the European Union
(16:00 GMT). Both Brussels
20 July: €3bn payment due from Greece to the European
Central Bank
Will EU leaders choose Grexit?
How has austerity affected the eurozone?
Ripple effect of crisis reaches Georgia
Without a deal, Greece risks crashing out of the euro.
Banks have been closed for two weeks now and a €60 (£43;
$66) daily limit on cash machine withdrawals, imposed on
28 June, remains in force for Greek citizens. Many people
say they have only been able to withdraw €50, as there are
no smaller denomination notes.
The measures submitted in the new Greek document
include:
tax rise on shipping companies
unifying VAT rates at standard 23%, including
restaurants and catering
phasing out solidarity grant for pensioners by 2019
€300m ($332m; £216m) defence spending cuts by 2016
privatisation of ports and sell-off of remaining shares in
telecoms giant OTE
scrapping 30% tax break for wealthiest islands.
Many of the ideas had previously been opposed by Mr
Tsipras - and when put to the Greeks in a referendum last
Sunday were soundly rejected.
The prime minister admitted that the package "entails many
proposals that are far from our pledges, from what we feel
is right for the recovery of the economy" and were only
"marginally better" than proposals put forward by the
creditors last month.

Simba kutaja mashine mpya matano

Mzungu Simba ataja mashine mpya
tano
KOCHA Mzungu wa Simba, Dylan Kerr, amesema amefanya
tathmini ya kina ya kikosi chake na kubaini
Kocha wa Simba, Dyan Kerr akifanya mazoezi wa wachezaji
wake.
ADVERTISEMENT
KOCHA Mzungu wa Simba, Dylan Kerr,
amesema amefanya tathmini ya kina ya kikosi
chake na kubaini kuwa anahitaji nyota watano
wapya kabla ya kuuanza msimu mpya na
amewahakikishia mashabiki wa Simba kwamba
mambo yatakuwa mazuri watulize presha.
Bosi huyo amewaambia mashabiki kwamba
anahitaji kipa mmoja, beki mmoja, kiungo
mmoja na mastraika wawili ili kumpatia wigo
mpana wa kuchagua kikosi cha kwanza.
Kerr alisema kipa wao namba moja kwa sasa,
Ivo Mapunda ni majeruhi na hafahamiki
atarejea uwanjani lini, hivyo ni vizuri timu hiyo
ikasajili kipa mwingine wa kiwango cha juu.
“Nilifanya tathmini ya wachezaji waliopo kwa
kuangalia historia tu na nafasi walizokuwa
wakicheza, sijatazama uwezo wao uwanjani.
Kwa haraka nimebaini kuwa tunahitaji nyota
watano wapya, kipa, beki, kiungo na straika
wawili, nataka kuwa na kikosi bora,” alisema
Kerr.
Kocha huyo wa zamani wa timu ya Taifa ya
Vietnam, alisema bado hajaanza kufanya
mazoezi ya mbinu kutokana na baadhi ya
wachezaji waliokuwa na timu zao za Taifa
kushindwa kujiunga na klabu mpaka sasa.
Nyota ambao hawajajiunga na timu ni nahodha,
Hassan Isihaka, Mohammed Hussein
‘Tshabalala’, Abdi Banda, Laudit Mavugo na
Jonas Mkude aliyerejea nchini mwishoni mwa
wiki iliyopita akitokea Afrika Kusini
alikokwenda kufanya majaribio ya soka la
kulipwa.
“Hatuwezi kufanya mazoezi ya mbinu wakati
wengine hawajajiunga na sisi, tunafanya
mazoezi ya viungo hapa na ufundi kidogo,
mbinu na namna ya kushinda mechi ni baadae
tukikamilika wote,” alisema Kerr.

Mbinu za kurejesha penzi lililokufa?

UNATAKA KUREJESHA PENZI LILILOKUFA ?
by roryamaendeleo
20 minutes ago
ASALAMALEIKUM ndugu zangu Waislamu ambao mpo
ndani ya mfungu wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan . Bila
shaka shaka swaumu inapanda na ishallah Mungu
atawafanyia wepesi mtaumaliza mwezi huu salama .
Nikirudi katika mada yangu ya leo, nazungumza zaidi na
wale ambao walikuwa wapenzi lakini kutokana na
sababu mbalimbali walifikia hatua ya kutofautiana . Penzi
lao likaota mbawa .
Wameona sera zao haziendani , wakaamua kuachana .
Kila mmoja anaanza kutafuta pumziko lingine kwa muda
wake .
Lakini wakati hayo yakiendelea , kuna mmoja kati ya
wawili hao anakuwa ameguswa na ugomvi wao .
Anataka kurejesha penzi , hajui ataanzia wapi. Huyo ndiye
ninayezungumza naye leo hapa.
Vipo vitu vya msingi vya kutafakari kabla hujaamua
kufufua penzi lililokufa , ni vyema ukajifunza :
JITATHMINI
Kabla hujaamua kufufua penzi lililokufa kwanza
unapaswa kujitathmini juu ya penzi lako la awali na
sababu ya kuachana kwenu . Jiulize ni nini kilisababisha
hadi mkafikia hatua ya kuachana ?
Pima uzito wa sababu hizo za kuachana kabla ya kuamua
kuomba nafasi upya . Sababu hiyo inaweza kubadilika au
haiwezekani ? Usije ukawa sababu ya kuachana kwenu ni
mwenzako kukwambia anaolewa na mtu mwingine
halafu wewe ukaendelea kulazimisha kuomba nafasi.
Sababu ya kuachana kwenu ikiwa ni ya yeye kupata
bwana wa kumuoa na mipango tayari imeshafika
patamu, huna haja ya kuendelea kurejesha penzi hilo
maana tayari linakuwa limeshafika hatua ambayo huwezi
kulizuia .
Jiulize nani alikuwa chanzo cha mgogoro ? Chanzo chake
ni nini ? Ukishagundua chanzo chake na nani alikuwa
anasababisha, anza kutafuta suluhu kwanza moyoni
mwako .
Jitathmini kama chanzo kilikuwa ni tabia yako wewe
labda mfano hasira , jiulize unaweza kubadilika ? Ufanyeje
ili uweze kubadilika ? Ukishabadilika, hauwezi kurudia
tena tabia hiyo?
Hakikisha kwanza unajishughulikia matatizo yako . Katika
maeneo yote ambayo wewe ulihusika, hakikisha
unajisahihisha mwenyewe ndipo baadaye utamshirikisha
mwenzako pindi utakapokuwa umekutana naye kwa ajili
ya mazungumzo.
TAZAMA VIKWAZO
Wakati unatafuta muda wa kukutana na mwenzi wako ,
jiulize kwa wakati huo ana kikwazo gani ? Yawezekana
wakati mnaachana hakuwa na kikwazo lakini wakati
unataka kurejesha penzi , unakuta mwenzako ana
kikwazo.
Hawezi kurudiana na wewe wakati huo tayari yupo katika
mikakati ya kufunga ndoa na mtu. Au yupo na mtu
ambaye tayari wameendana , wameshatambulishana kwa
wazazi na kuweka mikakati ya ndoa .
ANDAA SULUHU
Ukishabaini chanzo , sababu na kujiridhisha kwamba
umeshafanyia kazi upungufu wako , omba nafasi ya
kukutana na mwenzi wako. Ikiwezekana watumie hata
watu wake wa karibu ili wakusaidie kukukutanisha naye .
Muombe radhi. Mueleze kwamba umeshayafanyia kazi
matatizo yako . Umebaini tatizo na uko tayari kwa suluhu.
Hata katika maeneo ambayo yeye alikuwa akikosea,
tumia lugha nzuri kumueleza namna ambavyo anapaswa
na yeye kubadilika ili msijikute mnaingia tena kwenye
migogoro.
Usimlamu. Onesha dhamira ya dhati ya kutaka kuishi
kama zamani . Mpe nafasi pia akueleze vitu ambavyo
pengine ulikuwa unamkwaza . Vikubali na ahidi kuvifanyia
kazi .
Akikuelewa , ongeza upendo maradufu. Ishi kwa
kujikumbusha kila siku maeneo ambayo ulikuwa
unayakosea . Usirudie makosa . Hakika mtaheshimiana na
mtafurahia penzi lenu na kila mmoja akihofia kumuudhi
mwenzake .
Mara nyingi penzi lililokufa likifufuka huwa linakuwa
tamu , linakuwa na matokeo mazuri zaidi ya lile la awali .
Ni matumaini yangu mtakuwa mmenielewa , tukutane
wiki ijayo kwa mada nyingine nzuri .

Mkwere kupata mtoto wa kike

MKWERE APATA MTOTO WA KIKE
by roryamaendeleo
9 minutes ago
Mtoto wa Komediani maarufu nchini, Hemedi Maliyaga
‘ Mkwere ’ aliyepewa jina la Shamsa Hemedi Maliyaga .
Chande abdallah
MSANII wa komedi anayeuza sura kupitia Kipindi cha
Mizengwe kinachorushwa katika Kituo cha Televisheni
cha ITV , Hemedi Maliyaga ‘ Mkwere ’ amefunguka kuwa
anajivunia kupata mtoto wa kike baada ya mkewe
kujifungua hivi karibuni.
Mke wa Mkwere na watoto wake , Shamsa na Kamira
mwenye hijabu, aliyevaa tisheti ni mtoto wa mpiga
picha wa ITV .
Akipiga stori na mwandishi wetu , Mkwere alisema mtoto
huyo aliyempa jina la Nurat ni wa pili baada ya wa kiume
na kuongeza kuwa amefurahi zaidi kumpata mtoto wa
kike kwani alikuwa akitamani kwa muda mrefu .
“Mwanangu anaitwa Nurat , kweli nimefurahi sana
nilikuwa na hamu sana ya kumpata mtoto wa kike sasa
furaha yangu imezidi baada ya kumuona , ” alisema
Mkwere .
Wanafamilia wa Maliyaga wakimbeba mtoto huyo .
Mkwere akimbeba mwanaye Shamsa .
Mkwere akiwa na familia yake na Mama Mkwe.

Banza atoka hospitali

MUNGU MKUBWA, BANZA ATOKA
HOSPITALI
by Global Publishers Ltd
16 minutes ago
Gladness mallya
BAADA ya mwanamuziki wa Dansi nchini, Ramadhan
Masanja ‘ Banza Stone ’ kulazwa katika Hospitali ya
Mwananyamala , Dar kwa siku saba , hatimaye
ameruhusiwa kurejea nyumbani baada ya kupata nafuu.
Mwanamuziki wa Dansi nchini, Ramadhan Masanja
‘Banza Stone.
Banza aliruhusiwa kutoka hospitalini hapo , Jumatano
iliyopita ambapo kwa mujibu wa kaka yake ana nafuu
japokuwa bado hali si shwari kwani daktari aliyekuwa
anamtibu aliwaeleza kwamba ndugu yao huyo ana tatizo
la upungufu wa damu.
“Tunamshukuru Mungu mgonjwa wetu ameruhusiwa
japo bado hali yake haijatengamaa kwani tofauti na
matatizo ya awali ya fangasi za kichwani , anakabiliwa na
upungufu wa damu hivyo tumeshauriwa tumpe vyakula
vya kuongeza damu, ” alisema Hamis .

Friday, July 10, 2015

Mkutano mkuu wa ccm kuonyeshwa mtandaoni

MKUTANO MKUU WA CCM
KUONYESHWA MTANDAONI

Chadema kutimu wengine Jana.

Waliotuhumiwa Mamluki Chadema
Wavuliwa Uongozi.
Na Bryceson Mathias, Kilosa.
NGUVU ya Umma ya Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) Kata ya Ruaha, Jimbo la
Mikumi, Wilaya ya Kilosa, Morogoro, wamewavua
Uongozi waliokuwa Viongozi wao na kuweka
Kamati ya Muda (Task Force), kwa madai ya kuwa
Mamluki ndani ya Chama chao.
Waliovuliwa Uongozi na kubaki na Uanachama ni
pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kata, George
Banda, Katibu, Ally Mponda, Katibu Mwenezi,
William Temu, Mweka Hazina, Aurelia Mnunga, na
Mjumbe wa Kamati Tendaji, Mwalimu Myami.
Katika Kikao cha ndani cha Julai 2 (Ukumbi wa
Linas), kilichosimamiwa na Mkurugenzi wa
Uchaguzi na Mafunzo wa Chadema Taifa, Benson
Kigaila; Baada ya kusikiliza ‘Tuhuma’ za Viongozi
hao, aliwauliza wanachama wanataka nini, ambapo
wote walipaza Sauti; Wavuliwe Uongozi na kubaki
Wanachama!.
Aidha Tuhuma zilizoelekezwa kwa Viongozi hao, ni
Kuwafukuza Viongozi wenzao Watatu wa Chadema,
kwa kutumia Vifungu visivyokuwemo kwenye Katiba
ya Chadema, ilihali wakijua ni kukinyang’anya
Chadema Ushindi wake halali na kukifurahisha
Chama Mapinduzi(CCM).
Nyingine ni Viongozi hao kuhamisha Vikao vya
Chama, ambapo badala ya kufanyia kwenye Ofisi ya
Chadema Kata, kwa Miezi zaidi ya Minne
walihamishia Vikao na Ofisi kwenye Mgahawa wa
mmoja wa Viongozi hao kinyume cha Katiba.
Kiongozi Mpya, Abasi Longa, alikiri kuchaguliwa
Mwenyekiti wa Muda kati ya Viongozi
waliochaguliwa na Wanachama; Hii ikiwa ni mara
tu baada ya kumvua, Banda aliyekuwa Mwenyekiti,
ambapo, Joram Zacharia, alithibitisha kuchukua
UKatibu aliovuliwa, Mponda.
Mbali ya waliovuliwa nyadhifa kutotaka
kuzungumza na Mwandishi hata walipopigiwa simu
za Viganjani kuelezea walivypokea kuvuliwa
Uongozi na kuwa Wananchama; Aliyekuwa Katibu,
Mponda, pekee alikiri kuondolewa, akisema, “Siasa
ni Kijiti, lazima tupokezana”.alisema
Hata hivyo, Longa alikiri kupokea Fomu za Viongozi
watatu waliovuliwa Uongozi na kubaki Wanachama
wa Chadema, Banda, Mponda na Mnunga, ambao
wametia nia ya Udiwani wa Kata hiyo.
Awali Mponda, alimthibitia Mwandishi wa habari,
kuhusu azma yake kutia nia ya kugombea Udiwani
wa Kata hiyo wakiwemo Viongozi wenzake
waliovulia Madaraka, jambo ambalo limeendelea
kuwawatia Shaka Wana Chadema kuwa, huenda
kulikuwa na kitu nyuma ya Pazia