Tuesday, September 15, 2015

Fundi simu kukiomba serekali iboreshwe....

Kija huyo mkazi wa kijiji cha Marasibora kasema kwamba kama serekali ya Magufuli aitakua makini basi kazi wanayo

Sunday, September 13, 2015

MAGUFULI NI JEMBEEEEEEEEEEE......

MAGUFULI NI JEMBEEEEEEEEEEE......Magufuli ni Babalao ukawa mbwembwe tu. kulingana na mgombe huyo kuweza kutoa maelezo sasahii jisi gani hatakavyo tatua matatizoi ya wattanzania.

Je? Wajua kwamba kilimo chaweza okoaaaa....

Kutana na wakulima toka familia ya Jackson yohana walipo jivunia maindi yenye ubora wa juu bahada ya kufata taratibu za kitaalam

Kijana mmoja kukutwa kafa kwa kupigwa iringa

Kijana mwenye umri wa miaka 23 kakuta maeneo ya bekary akiwa tayari kakutwa na mauti.

TAMBUA KOBE NA MAYAI YAKE......

Nikobe mwenye umri mkubwa sana katika nyanda za upande wa mkoa mara ktk wilaya Rorya na Tarime

JEE? WATAKA KUSOMA IRINGA? KARIBUNI SANA CHUO KIKUU CHA IRINGA YANI (IRINGA UNIVESTY) ILI MWEZE KUPATA ELIMU ILIO BORAAA ......

JEE? WATAKA KUSOMA IRINGA? KARIBUNI SANA CHUO KIKUU CHA IRINGA YANI (IRINGA UNIVESTY) ILI MWEZE KUPATA ELIMU ILIO BORAAA ......

picha mbali mbali za chuo kikuu cha iringaa

SIASA ZA TANZANIA ZAENDELEA KWA VITISHOOOOOOO..........

SIASA ZA TANZANIA ZAENDELEA KWA VITISHOOOOOOO..........WANA UKAWA KATIKA KAMPENI ZAOOOOOO

WATU KUENDELEA KUNDIRIMA KUWASIKILIZA WAGOMBEA

LOWASSA MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA UKAWA


ZITTO AKINDIRIMA