kisarawe kigwendu chaliiiiiiiii
Monday, October 26, 2015
tabiri uchaguzi na ujishindie zawadi.
Kampuni ya rorya maendeleo yazindua tabiri na kujivunia ushindi
tunapenda kuwajulisha mashabiki wetu kwamba tutatoa zawadi kwa Mtu yeyote atakae tabiri matokeo katika jimboni kwake .
tunapenda kuwajulisha mashabiki wetu kwamba tutatoa zawadi kwa Mtu yeyote atakae tabiri matokeo katika jimboni kwake .
Majembe wa ccm washindwa majimbo kwao.
Chama cha mapinduzi ccm kimeshindwa kukitetea majimbo mawili yaliyokua yameshikwa na vigogo wake ndani ya Mkoa wa Mara .vigogo hao ni pamoja na wasira toka jimbo la Bunda na Kabwe jumbo La Serengeti .
BUNDA MATOKEO TAYARI YANAPATIKANA HAPA.
ESTAR BULAYA AMEIBUKA KIDEDEA KWA KUSHINGA KWA VISHINDO NA KUPELEKEA WASIRA KUZAMISHWA.KITU KILICHOFANYA WASIRA KUKIMBILIA DAR.
vedastus mathayo aibuka kidedea jimbo la musoma mjini.
MATHAYO MWAKA HUU AMEWEZA KUPATA AU KUKOMBOA JIMBO LA MUSOMA MUJINI KUTOKA MIKONONI MWA CHAMA CHA CHADEMA.
Subscribe to:
Posts (Atom)