Wednesday, December 16, 2015
Matukio 10 hatari
Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18)
by Rama Mwelondo TZA
Soka imekuwa kama burudani nyingine ya kawaida kwa watu wa rika zote, siku hizi ni kawaida kuona mtu anapanga ratiba yake ya siku lakini usishangae kumuona katenga muda wa kwenda kuangalia mpira katika ratiba zake, licha ya kuwa ndio mchezo wenye mashabiki wengi duniani au ndio mchezo maarufu zaidi. Kuna baadhi ya matukio huwezi kutamani
Top 10 Rnb in december
Top 10 ya Rnb ya Trace TV December 17,2015….(+Video)
by Edwin TZA
Najua kuna watu walikuwa na hamu ya kufahamu video zinazofanya vizuri duniani na zilizofanikiwa kuchukua nafasi kwenye countdown za nchi kubwa. kwa mara nyingine tunajiunga na kituo cha TV cha kimataifa cha Trace Urban cha Ufaransa leo December 17, 2015 kuangalia hii top 10 yao ya Rnb kupitia kituo hicho. 10.Tinashe - Party Favors 9.August
Fabregas kasema haya
Fabregas kaongea haya kuhusu wachezaji wenzake wa Chelsea wanaolipwa mishahara mikubwa …
by Rama Mwelondo TZA
Klabu ya Chelsea ya Uingereza ni miongoni mwa vilabu vinavyolipa mishahara mikubwa wachezaji wake, klabu hiyo ambayo inamilikiwa na bilionea wa kirusi Roman Abromavich imekumbana na wakati mgumu msimu huu, baada ya kupokea jumla ya vipigo 9 katika mechi 16 ilizocheza. Kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho alinukuliwa siku moja nyuma akilaumu wachezaji wake wanamsaliti, ila
Yaliyompata minaji
Nicki Minaj alipigwa STOP kuperform Angola jumamosi hii! Show itaendelea?!
by Sandra Brown TZA
Msanii kutokea Marekani, Nicki Minaj jana alizandika headlines kwenye kurasa za burudani baada ya taarifa kusambaa kuwa amepigwa stop kwenda kutoa show Angola jumamosi ya tarehe 19 December wiki hii, kutokana na Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Angola kupinga kufanyika kwa show hiyo. Wanaharakati hao walimuandikia Nicki Minaj barua kumuomba rapper huyo asitishe show
Friday, December 11, 2015
Jm kikwete kuzunguzia kodi
Check out @jmkikwete's Tweet: https://twitter.com/jmkikwete/status/674828435416576001?s=09
Duniani wawili wawili
Duniani wawiliwawili ! hawa walijitokeza wamefanana kimuonekano na Diamond, Ngwea, Balotelli, Bruno Mars na mastaa wengine
by Millard Ayo
Wakati tukiisubiria After Skul Bash ya December 12 2015 Escape One Mikocheni ambayo huwa inaandaliwa na XXL ya CloudsFM kila mwaka, nimechukua hii video ya moja ya events za After Skul bash ambayo huwa pia kwenye kila event kunatolewa zawadi kwa washkaji waliofanana na mastaa. Kwenye hii video hapa chini kuna vijana wa Tanzania waliojitokeza na kusema […
Tuesday, December 8, 2015
Jee iringa bado maeneo machafu
Mtaa wa ilembula Leo hii badokucha kwani maeneo ya kibiashara chuo kikuu cha Iringa yalikua yakionekana kwa picha hizi
Subscribe to:
Posts (Atom)