Kofia za dizaini hii. yazidi kupanda bei bahada ya mgombea wa ccm dr.john pombe magufuli kuonekana kulipenda sasa vazi hili kutokana na sifa za kiongozi huyo mwenye uwezo wa kukariri na kutunza kumbukumbu kwa hali ya juu zaidi vazi lake hilo limeonekana kuwa adimu sana toka kuchaguliwa na ccm .
Milipuko mitano yalikumba eneo la Gaza
Takriban
milipuko mitano iliyotokea katika ukanda wa Gaza imeharibu magari ya
wanachama wa kundi la Hamas na makundi mengine ya Jihad
Haijabainika ni nani alihusika na mashambuli hayo.Lakini wadadisi wanasema kuwa huenda ni makundi madogo yanayolipinga kundi la hamas ndiyo yaliotekeleza mashambulizi hayo.
Shambulizi hilo lilifanyika kwenye mtaa mmoja katika mji wa Gaza ambapo vikosi vya Hamas hivi majuzi vilimuua mwanamgambo aliyeunga mkono kundi la Islamic State.