Thursday, September 17, 2015

Kutana na Anna katika kampeni za Act

Mama machachari katka chama cha act wazaleo yupo kwenye harakati za hapa na pale ili kukijulisha umma thamira ya kweli toka chama hicho juu ya maendeleo.

Wednesday, September 16, 2015

PATA JINALAKO HAPA TOKA TCU

MAJINA YAMETOKA KWA WAIOOMBA KUJIUNGA VYOO VIKUU

TCU MAJINA YA WALIOKOSA VYUO MWAKA 2015/16 HAYA HAPAA

TCU YATOA MAJINA YA WALIO KOSA AWAMU YA KWANZA MAJINA YANAPATKANA HAPA http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Group%20(I_L).pdf WAWEZA Wasilia nasi kwa Sim No 0768441610 kujua jinsi ya kutuma maombi ya pili.

WAZIRI SAADA MKUYA AZINDUA KAMPENI.....


Waziri wa fedha , Bi Saada Mkuya azindua kampeni

Mgombea ubunge jimbo la Welezo, Waziri wa Fedha , Bi Saada mkuya akimwaga sera katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni jimboni. mkutana ulifanyika jana uwanja wa KimaraMeza kuu ikimsikiliza kwa makini mgombea Ubunge wa jimbo la Weleze Bi Saada Mkuya(hayupo pichani) akijinadi na kumwaga sera. Mkutano huu pia ulihudhuriwa na mgombea uwakilishi wa jimbo hilo la Welezo, Hassan Hafidh (wa pili kulia waliokaa)Wanachama na wapenzi wa CCM kutoka jimbo la Welezo waliohudhuria uzinduzi wa Kampeni ya jimbo la Welezo jana huko Uwanja wa Kimara wakimsikiliza kwa makini mgombea ubunge wa jimbo hilo Bi Saada Mkuya SalumWanachama na wapenzi wa CCM kutoka jimbo la Welezo waliohudhuria uzinduzi wa Kampeni ya jimbo la Welezo jana huko Uwanja wa Kimara.Timu ya kampeni ya mgombea Ubunge wa jimbo la Welezo

ACT WAZALENDO JIMBO LA IRINGA WAZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE


ACT WAZALENDO JIMBO LA IRINGA WAZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE

 Viongozi  wa ACT  wazalendo Iringa  wakijiandaa kwa  wimbo  wa Taifa jukwaani wakati wa uzinduzi wa kampeni  zao kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana  mjini Iringa jana
Mgombea ubunge  jimbo la Iringa mjini Chiku  Abwao  akiwahutubia  wananchi  katika  uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana

Mgombea ubunge  jimbo la Iringa mjini Chiku  Abwao  akiwahutubia  wananchi  katika  uzinduzi wa kampeni kwenye uwanja wa Mwembetogwa jana
Msanii Baba  Revo  akiwa na Chiku Abwao