Balozi wa mtaa wa tumaini chuo Bi.Auko au Bimujey anapenda kuwajulisha watanzania kwamba Mtoto pochani hapo hameokotwa baada ya kubainika kwamba Dada wa kazi alichelewa kufika katka mazigra ya kumpokea Mtoto huyo kila siku.
Saturday, November 7, 2015
Thursday, November 5, 2015
Sunday, November 1, 2015
Friday, October 30, 2015
Thursday, October 29, 2015
Mwakalebela chaliiiiii
Japo majembe ya ccm kukutana mjini Iringa ila hali bado ciyo zuri kwa chama hicho kwani mpaka sasa mwakalebela kabwagwa tena na msigwa.
Wednesday, October 28, 2015
OWAWA KUTIKISA RORYA................................
llinzi wa mgombea ubunge jimbo la RORYA Bw. Owawa katika kampeni zake ndani ya kijiji cha marasibora.
M gombea Ubunge bwana OWAWA kwa tiketi ya chandema inayoungwa na umoja wa vyama (UKAWA)katka jukua ndani ya kijiji cha Marasibora
Bw.MUSSA mjomba wa kijana machachari ndani ya jimbo la rorya wakiwa ndani ya kijiji cha MARASIBORA alipozaliwa mama wa STIVEN OWAWA .
Wanakijiji cha marasibora wakiwa makini kipindi cha kampeni za Bw. Owawa ndani ya kijiji chao.
Mch.CHRISTOPHAR wa kanisa ya TAG Marasibora wakiwa kwenye picha ya pamoja na Bw, Owawa.
Subscribe to:
Posts (Atom)







