Saturday, November 7, 2015

Picha za mtoto aliyepotea.....

Balozi wa mtaa wa tumaini chuo Bi.Auko au Bimujey anapenda kuwajulisha watanzania kwamba Mtoto  pochani hapo hameokotwa baada ya kubainika kwamba Dada wa  kazi alichelewa kufika katka mazigra ya kumpokea Mtoto huyo kila siku.

Thursday, November 5, 2015

Thursday, October 29, 2015

Mwakalebela chaliiiiii

Japo majembe ya ccm kukutana mjini Iringa ila hali bado ciyo zuri kwa chama hicho kwani mpaka sasa mwakalebela kabwagwa tena na msigwa.