Tuesday, November 17, 2015

Shule ya Msingi marasibora yabaki jina tu.

Shule ya msingi marasibora kata Kisumwa wilaya rorya imebainika ni magofu baada ya wanafunzi kusomea majengo yasiyo na madirisha wala milango.

Blog yetu ilipata kutembelea hapo shuleni.

Kweli Vijana wanashida Sana Kwani mpaka sasa wlm tunafanya kazi kwenye mazingira magumu Sana zaidi ya Sana miongoni mwa majipu hili nijipu kubwa na Tayari limesha hiva so tujipange kulitumbua tu. 

Tembelea www.ajra.tz.com kupata nafasi za kazi kwa waliyopo vyuoni.

www.ajira.Tz.com

J mosi ni gradwesheni chuo kikuu cha iringa.

Karbuni katka sherehe za gradwetion chuo kikuu cha iringa

Saturday, November 7, 2015

Picha za mtoto aliyepotea.....

Balozi wa mtaa wa tumaini chuo Bi.Auko au Bimujey anapenda kuwajulisha watanzania kwamba Mtoto  pochani hapo hameokotwa baada ya kubainika kwamba Dada wa  kazi alichelewa kufika katka mazigra ya kumpokea Mtoto huyo kila siku.