Tuesday, December 22, 2015
Diamod interview
Full Interview ya Diamond Platnumz: Kwanini hakutokea White party Uganda, video ya Wema Sepetu, scene iliyomuhuzunisha na mengine
by Millard Ayo
Ni Interview ambayo mwimbaji Diamond Platnumz alihojiwa CloudsFM kwenye LeoTENA December 22 2015 ambapo ndani yake alizungumzia kutokutokea kwenye show ya Zari All White Party Uganda, video ya Wema Sepetu iliyosambaa akiimba wimbo wa Diamond na mengine mengi. Ukibonyeza play kwenye hii video hapa chini utasikia yote aliyosema Diamond ikiwemo ya Mama yake alivyoigiza kwenye […]
Monday, December 21, 2015
PICHA ZA WAGENI WAKIWA NA WASHIRIKI WA KANISA LA NGOME HAPO JANA.
Picha za kipindi kupata chakula kanisani ngome.
FURAHA MPAKA KWA WATOTO
WAPISHI WAKIGAWA VYAKULA.
KWAKWELI TUNAKULA LAKINI TUNATIANA MOYO
KUMBUKA
SILAA HATA WAKATI WA..........
MASTER HAPO PAMOJA NA KATIBU TUCASA.
SHEREHE ZIKAFATANA NA CHAKULA
JEE WAMJUA MWENYEKITI WA KWAYA YA TUCASA?
KUTANA NA MZAMBIA HAPO KATIKA FURAHAAAAA......Sunday, December 20, 2015
Friday, December 18, 2015
Anayetaka nafasi ya jose mourinho
Anayeitaka nafasi ya Jose Mourinho ni huyu hapa
by Jesca TZA
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Chelsea kwa sasa haina kocha baada ya kumfukuza kazi kocha wao mkuu Jose Mourihno. Headlines za sasa zimemgeukia kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Ulolanzi Guus Hiddink ambye ametajwa kukaimu nafasi ya Mourihno na tayari amesafiri kwa ndege leo kwenda kufanya mazungumzo na uongozi wa klabu
Thursday, December 17, 2015
Kidumu kaokoka
Ni kweli Kidumu ameokoka? nini hasa kilitokea? majibu yote ninayo hapa
by Millard Ayo
Jina lake lilianza kutajwa na Watanzania wengi kupitia hit single zake kama ya 'haturudi nyuma' ft Juliana ni miaka imepita toka wimbo wake wa mwisho uwe kwenye TOP 10 ya Radio za Tanzania, sasa juzi zikatufikia habari kwamba Kidumu ameokoka na sasa hatoonekana akiimba muziki tuliozoea kumuona nao, ni kweli? ni kitu gani kilitokea hasa? […
Subscribe to:
Posts (Atom)



















