07687777@7
Friday, February 5, 2016
Kambi ya umpinzani yatangaza Baraza lake la mawaziri
Mbowe na mawaziri vivuli muda huu. Kaskazini wang, ara
Ofis ya rais Tamisemi jafar maiko
Utumishi
Lucy molel
Makam muungano
Ali saleh A. Ali
PM bunge kazi na ajira
Esta bulaya
Sera na mipango
Halima mdee
Naibu silinde
Uchukuzi
Injinia mbatia
Will kambalo
Nishat
Mnyika na heche
Maambo ya nje
Msigwa
Kilimo
Makdalena sakaya
Ulinzi
Juma hamad omar
Waitara naibu
Mambo ya ndani
Lema
Ardhi
Wilfred lwakatare
Maliasili
Estamatiko na pareso
Viwanda
Kalist komu
Elimu
Suzan limo
Afya
Dk godwin molel
Habar
Joseph mbiliny
Minja devota
Maji
Hasan bobali
Peter lijualikali
Katiba na sheria
Tundu lisu
Wednesday, February 3, 2016
Chadema kimemkabidhi ilani meya wa kinondoni.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo kimemkabidhi Ilani Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob ili imuongoze katika utendaji wake. Anaandika Rorya Maendeleo
Akikabidhi ilani hiyo katika Ofisi za Manispaa kwa niaba ya chama, Mratibu wa Chadema Kanda ya Pwani, Kasmil Mabina amesema, anamkabidhi meya ili aweze kutekeleza ahadi za Chadema kwa wananchi kwa kuwa yeye ndiye muwakilishi wao.
Ilani hiyo imeorodhesha vipaumbele vya chama ikiwa ni pamoja na kushuhulikia suala la bomoabomoa, maji, elimu. Pia Chadema kimemtaka kuwaagiza madiwani kufuatilia na kuhakikisha waliobomolewa wanapata haki zao ikiwemo kulipwa fidia.
Mabina akisoma Ilani hiyo amesema, Jacob pia anajukumu la kushugulikia elimu katika Manispaa yake na kuhakikisha anakusanya mapato ya kutosha kama chama kilivyokuwa kinaahidi.
“Inatakiwa tujitahidi ili tuoneshe mfano kwa CCM na tuwaaminishe wananchi kwamba upinzani pia unaweza kuongoza vizuri. Ilani hii tuliyompa Jacob imetokana na katiba ya chama inayomtaka Meya na Madiwani kuisimamia manispaa na kuanda mipango kazi yake na kuwasilisha utekelezaji wake katika kikao kikuu cha chama,” amesema Mabina.
Jacob baada ya kukabidhiwa Ilani hiyo ameahidi kutekeleza yote aliyoagizwa na chama chake huku akiwataka wananchi kuendelea kumuamini katika utendaji wake.
“Nataka niwatoe hofu wananchi wangu kwamba, kukabidhiwa Ilani ya chama haimaanishi kwamba nitakuwa Meya wa wana Chadema au Ukawa tu, bali nitayachukuwa mazuri yote kwa ajili ya manufaa ya wananchi wote,” amesema
Friday, January 29, 2016
Uvamizi wa arthi yaendelea marasibora.
Wavamia arthi watua marasibora kwa kasi ambapo wamevamia arthi ndani ya kijiji hicho kilichopo Kata Kisumwa wilayani Rorya Mkoa Mara.tulipo fika kijijini hapo na kuongea na Mzee mmoja kwa jina Jackson Yohana aliyedai ni kijana mkumbwa wa familia ya mzee Yohana alisema haya toka mwaka 1987 kikao cha ukoo wa kasemo kilipo kaa baada ya Baba yangu kufariki na kunipa kusimamia Mali za Mzee Yohana ndipo nipoanza kazi hiyo na mpaka Leo naendelea kuvigawa kwa wajukuu na kwa wadogo zangu. Katika eneo la nyasuna katika kitongoji cha karama kuna MTU kajitokeza na kusema eneo nilake wakati mpaka Leo hii tunailima na maindi yangu yapo shambani mpaka Leo. Kijana huyu anasema kwamba eneo nilake na mpaka sasa kesi kapereka mahakama ya mwanzo na nilipo uliza mahakama kwanini kesi ya arthi isikilizwe hapa walijibu kwamba Mimi ni mvamizi wa eneo hili na kupelekea kesi kunishinda na nilipo Kata rufaa mpaka mahakama ya tarime na ukumu ukatoka kwamba nimeshinda nilipo omba nakala ya hukumu nikajulishwa kwamba nita pewa ilifika wiki mbili majibu nikakuta hukumu umebadilishwa na kuonyesha nimeshindwa naomba serekali ya Mzee j p magufuli kunisaidia kwani kijana huyu Marwa maguchi anapewa Pesa na Mjomba wake kijana wa Nyanguru ili kuonga na kuonyesha nimeshindwa kesi.
MARASIBORA MAJI NI HISTORIA NDEFU......




