Sunday, February 14, 2016

Jedwali la msimamo wa ligi ya EPL.................

Jedwali la msimamo wa ligi ya EPL

  • 13 Februari 2016
Jedwali la msimamo wa ligi ya EPL kufikia 13 Februari, 2016 saa 20:00 saa za Afrika Mashariki.
NambariKlabuMechiMabaoAlama
1Leicester252053
2Tottenham252648
3Arsenal251748
4Man City252147
5Man Utd26941
6Southampton261040
7West Ham26940
8Watford26136
9Stoke26-536
10Everton261135
11Liverpool25-435
12Crystal Palace26-532
13West Brom26-832
14Chelsea25-230
15Bournemouth26-1428
16Swansea26-1027
17Newcastle25-1824
18Norwich26-2024
19Sunderland26-1823
20Aston Villa25-2016

Sunderland yailaza Manchester United...............

Sunderland yailaza Manchester United

  • 13 Februari 2016
Image copyrightAFP
Image captionMkufunzi wa kilabu ya Manchester United
Kilabu ya Sunderland iliimarisha harakati zake za kuepuka kushushwa kutoka kwa ligi kuu ya Uingereza baada ya kupata ushindi dhidi ya Manchester United.
Wahbi Khazri aliiweka Sunderland kifua mbele baada ya dakika tatu za kipindi cha kwanza kufuatia mpira wa adhabu uliompita kila mtu katika lango hilo.
Anthony Martial alisawazisha baada ya kuugusa mpira uliompita kipa Victor Manone ,ambaye awali alikuwa ameokoa shambulizi la Juan Marta.
Lakini Sunderland walishinda mechi hiyo baada ya kichwa cha Lamine Kone kufuatia krosi safi iliopigwa na Khazri.

Magufuli: Sitaingilia mzozo Zanzibar mimi nawasikilizia tu.......

Magufuli: Sitaingilia mzozo Zanzibar

  • 13 Februari 2016
MzozoImage copyrightAFP
Image captionRais Magufuli ameshauri wasiokubaliana na hali waende mahakamani
Rais wa Tanzania John Magufuli amesema hataingilia mzozo wa kisiasa ambao unaendelea visiwani Zanzibar kuhusu uchaguzi.
Akiongea na Wazee wa Dar es Salaam, katika hotuba iliyotangazwa moja kwa moja katika vyombo vya habari, Dkt Magufuli amesema hakusudii kamwe kuingilia mzozo huo.
“Kuhusu Zanzibar, kama tume za uchaguzi nyingi duniani, haiwezi kuingiliwa na Rais yeyote ndiyo maana tume za uchaguzi huwa huru,” amesema Dkt Magufuli.
“Napenda kuheshimu sheria. Hiyo ZEC ina uhuru wa kuamua mambo yake lakini kama kuna tafsiri mbaya, waende mahakamani, mahakama ziko pale halafu unamwambia Magufuli ingilia.
Jukumu langu kama amiri jeshi mkuu ni kuhakikisha amani ya Zanzibar inaimarika, yeyote atakaeleta fyokofyko ajue vyombo vya usalama vipo."
Chama cha Wananchi (CUF) mwezi uliopita kilikuwa kimetoa wito kwa kiongozi huyo wa jamhuri ya muungano kuingilia kati.
Mzozo visiwani humo unatokana na kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika tarehe 20 Oktoba mwaka jana.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza kwamba uchaguzi utarudiwa 20 Machi, hatua iliyopigwa na viongozi wa CUF ambao wamesema watasusia

CUF kususia marudio ya uchaguzi Zanzibar

CUF kususia marudio ya uchaguzi Zanzibar


Seif
Image captionChama hicho kimesema uchaguzi halali ulishafanyika mwaka jana
Chama cha Wananchi (CUF) kimetangaza kwamba hakitashiriki uchaguzi wa marudio ambao umepangiwa kufanyika Machi 20.
Viongozi wa chama hicho wamesema uchaguzi halali ulishafanyika mwaka jana.
Chama hicho kimesisitiza kwamba mshindi wa uchaguzi uliofanyika tarehe 25 Oktoba anafaa kutangazwa.
“Chama Cha Wananchi (CUF) hakitoshiriki katika uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika tarehe 20 Machi, 2016 kwa sababu uchaguzi huo si halali kwani uchaguzi halali ulishafanyika,” taarifa ya chama hicho baada ya mkutano wa dharura wa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa inasema.
“(Baraza la CUF) linatoa wito kwa Wazanzibari wote wanaoipenda nchi yao na ambao wanaamini katika utawala wa sheria, demokrasia na kuheshimu Katiba na Sheria za nchi yetu kutoshiriki katika uchaguzi huo usio halali wa marudio.”
Chama hicho kimesisitiza msimamo wake wa awali kwamba haikuwa halali kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salum Jecha, kufuta matokeo ya uchaguzi.
Chama hicho pia kinaonekana kutoridhishwa na mchango wa Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli katika kuutafutia ufumbuzi mzozo wa uchaguzi Zanzibar.
“Baraza Kuu linamtaka Rais Magufuli kujitathmini na kujiuliza anajiweka vipi na kutoa taswira gani mbele ya macho ya Watanzania na jumuiya ya kimataifa kutokana na kutosimamia ahadi yake aliyoitoa mbele ya Watanzania wakati akilizindua Bunge jipya kwamba atafanya kazi na vyama vya CUF na CCM ili kuupatia ufumbuzi mkwamo huu,” imesema taarifa hiyo.
Mapema mwezi huu, chama hicho kilitahadharisha kwamba huenda kukazuka fujo uchaguzi ukirudiwa.

Antonin Scalia, conservative US Supreme Court justice, dies

Antonin Scalia, conservative US Supreme Court justice, dies

Justice Scalia was the first Italian American to serve on the high courtImage copyrightGetty Images
Image captionJustice Scalia was the first Italian American to serve on the high court
One of the most conservative members of the US Supreme Court, Antonin Scalia, has died.
Justice Scalia's death could shift the balance of power on the US high court, allowing President Barack Obama to add a fifth liberal justice to the bench.
The court's conservative 5-4 majority has recently stalled major efforts by the Obama administration on climate change and immigration.
Justice Scalia, 79, was appointed by President Ronald Reagan in 1986.
He died in his sleep early on Saturday while in West Texas for hunting trip, the US Marshalls Service said.
"For almost 30 years, Justice Scalia was a larger-than-life presence on the bench," President Obama said, calling him "an extraordinary judicial thinker" with "an incisive wit".
Ronald Reagan and Antonin ScaliaImage copyrightReuters
Image captionJustice Scalia was appointed by Ronald Reagan
The president said he intends to name a replacement in due time, despite calls from Republicans to wait until the next president is elected.
"There will be plenty of time for me to do so and for the Senate to fulfil its responsibility to give that person a fair hearing and a timely vote," Mr Obama said.
"He was an extraordinary individual and jurist, admired and treasured by his colleagues," Chief Justice John Roberts said in a statement. "His passing is a great loss to the court and the country he so loyally served."
Born in 1936 in Trenton, New Jersey, Justice Scalia was the first Italian American to serve on the high court.
He was one of the most prominent proponents of "originalism" - a conservative legal philosophy that believes the US Constitution has a fixed meaning and does not change with the times.
In 2008, Justice Scalia delivered the opinion in District of Columbia v Heller, a landmark case that affirmed an individual's right to possess a handgun.
Throughout his career, the outspoken justice has been a vocal opponent of abortion and gay rights, often writing scathing dissenting opinions.
The flag outside the US Supreme Court is lowered in honour of Justice ScaliaImage copyrightGetty Images
Image captionThe flag outside the US Supreme Court is lowered in honour of Justice Scalia
Justice Scalia is sworn in to the high court in 1986Image copyrightAP
Image captionJustice Scalia was sworn in to the court in 1986
In the majority, he supported business interests and was a strong advocate for the death penalty, but he often parted with his conservative colleagues on issues of free speech.
He was known for his sense of humour and colourful language, calling efforts to defend President Obama's healthcare reform law "jiggery-pokery" and "pure applesauce".
Justice Scalia was an avid questioner during the court's oral arguments and has been credited with livening up proceedings.
His biting legal opinions and colourful persona made him a celebrity in conservative legal circles and, to a lesser extent, among the general public.

Politics turned on its head: Anthony Zurcher, BBC News North America reporter

The death of Antonin Scalia has turned the US presidential race, and Washington politics, on its head.
The ability of a president to shape the Supreme Court for years if not decades has been an important consideration for many voters in US presidential campaigns - but it is usually an abstract concern. With the passing of conservative firebrand Scalia, that is no longer the case.
Republicans in the US Senate will do everything they can to prevent Barack Obama, who has fewer than 11 months left in his presidency, from naming a successor to a court that had been sharply divided between liberals and conservatives.
If they succeed, a Democratic victory in November would mean a court with a decidedly more liberal bent. If Republicans prevail they preserve their slender conservative majority on a court that regularly issues landmark decisions on issues like gay rights, immigration law, healthcare reform, campaign finance reform and civil liberties.
Even if Mr Obama gets a nominee confirmed, the power his successor will hold to appoint justices is clear - three of the eight remaining justices are over the age of 70.

Justice Scalia was the subject of a one-act play and the focus of an opera along with his friend and colleague liberal Justice Ruth Bader Ginsburg.
The appointment of Justice Scalia's successor is certain to become a major issue in the presidential race, with stark divisions emerging over whether he or she should be nominated by this president or the next.
Senate Majority Leader Mitch McConnell, a Kentucky Republican, said on Saturday that the new justice should be selected after the presidential election.
"The American people should have a voice in the selection of their next Supreme Court Justice," he said.
His stance was echoed by Republican presidential candidates including senators Ted Cruz and Marco Rubio.
Senator Harry Reid, the top Democrat in the chamber, called the move to delay the confirmation "unprecedented".
"The Republicans in the Senate and on the campaign trail who are calling for Justice Scalia's seat to remain vacant dishonour our constitution," Democratic presidential candidate Hillary Clinton said. "The Senate has a constitutional responsibility here that it cannot abdicate for partisan political reasons."
The Supreme Court will continue to hear cases during the current term, with or without a replacement, including a major case involving abortion rights.
Front row (L-R): Associate Justice Clarence Thomas, Associate Justice Antonin Scalia, Chief Justice John G. Roberts, Associate Justice Anthony M. Kennedy and Associate Justice Ruth Bader Ginsburg. Back Row (L-R): Associate Justice Sonia Sotomayor, Associate Justice Stephen Breyer, Associate Justice Samuel Alito Jr. and Associate Justice Elena Kagan.Image copyrightGetty Images
Image captionJustice Scalia (front row, second from left) was one of five justices that made up the conservative majority on the court
US Supreme Court justices are appointed to life terms by the president with the approval of the US Senate.
The length of their terms along with their influence on US politics makes their selection and confirmation hotly debated.
Appointed by Democratic presidents, associate justices Mrs Ginsburg, 82, Sonia Sotomayor, 61, Stephen Breyer, 77, and Elena Kagan, 55, make up the court's liberal wing.
Appointed by Republican presidents, Chief Justice John Roberts, 61, along with justices Clarence Thomas, 67, Anthony Kennedy, 79, and Samuel Alito, 65, are the court's conservative bloc.

Kairuki urges Mkurabita to enhance village land registries


Kairuki urges Mkurabita to enhance village land registries

14th February 2016
Print
The Minister of State in President’s Office, Public Service Management and Good Governance, Angela Kairuki has urged the Property and Business Formalization Programme commonly known as Mkurabita to put in place village land registries and other specialized areas.

Kairuki told the press at Mkurabita offices in Dar es Salaam on Friday that until now the land registries were only conducted in 17 villages in four district councils, while 90 per cent had no good deal of land registries, leading to land conflicts among farmers.

“I called on the government to keep good budget for the land to help citizens to buy the land through copyright,” she said.
The Mkurabita  Programme Coordinator, Seraphia Mgembe said the programme was yet to manage creation of potentials for formalizing land villages in 49 district councils in Tanzania Mainland and four districts in Zanzibar.

"We advise Tanzanians to formalize their properties. Everybody is obliged to do good for his/her country for sustained benefits,” she said, adding that Mkurabita had already prepared more than 17,000 land registries in rural areas and surveyed over 51,000 farms, and that over 5,000 residential licenses for unplanned urban areas were currently being prepared, as about 1,000 residential licenses have already been issued.

Meanwhile, Mgembe commended Mkurabita’s efforts in ensuring that development activities reached all the people, attributing the success story to a mastermind of the programme whose creativity earned an award in an international contest recently.

Other nations were urged to take a leaf from Mkurabita’s chapter by going further than just targeting government activities, but encouraging the public into taking part in policy making, its implementation and adopting a culture of undertaking pre-emptive measures for prevention than cure.
SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY