RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFUNGUA RASMI DARAJA LA KIGAMBONI, ALIITA JINA LA DARAJA LA NYERERE APRIL 19,2016
roryamaendeleo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na viongozi wengine wakitembea juu ya Daraja la Kigamboni baada ya kulizindua katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam Aprili 19, 2016