CHADEMA RORYA KINARA 2015.
Mwaka wa Chadema Mkoani mara kwani wamejipanga vya kutosha katka uchaguzi wa mwaka huu wa 2015.hayo yamebainishwa na kijana mchapakazi wa wilaya ya rorya BWANA Manyala Ojai wa kijiji cha maumau aliye jitokeza kugombea udiwani wa katani Kuwake. Pia tulipata nyepesi nyepesi ya kwamba Kuna wagombe wa ubunge Kupitia cha hicho chenya wafuasi wenge Jimboni hapo kaa nasi kupata yanayo jiriiiiii rorya maendeleo Kwanzaa. Ndivyo halivyo maliza msemaji watu
Monday, June 8, 2015
Sunday, June 7, 2015
Don't send children to boarding schools.
Don't send children to boarding schools
6th June 2015
t
Deputy Minister for Education and Vocational Training, Anne Kilango Malecela
Deputy Minister for Education and Vocational Training, Anne Kilango Malecela told the National Assembly here that the emerging trend is disastrous to the future generation and in upholding national culture.
“Experts have stated that children below 14 years need to live under strict parental guidance and taking them to boarding school, more so in foreign countries, is disastrous,” she said.
Kilango said this in response to a question by the Special Seats MP, Mkiwa Kimwaga (CUF) who wanted to know why the number of pupils going to study in the neighbouring countries of Kenya and Uganda has declined.
The legislator argued that between 1985 and 1998 the number of Tanzanian pupils going for primary and secondary study in the East African countries was high compared to recent years.
“I would like to know why many pupils no longer go to the two countries as it was in the past decades,” said Ms Kimwaga.
But the deputy minister in her response said most parents used to send their children abroad for primary and secondary education with a notion that there was better education in the countries compared to Tanzania.
“Most parents were attracted by use of English language in the foreign schools than in Tanzania where teaching languages are English and Kiswahili,” she said. She added that between 1985 and 1998 there were only 41 schools in the country that used English as the teaching language compared to the current 740 of such schools in the country.
In addition, secondary school opportunities in the country were small and could not accommodate all those who graduated from primary school.
The deputy minister said for instance, pupils who passed standard seven examination and joined secondary schools was just 5.5 per cent of those who sat the examination in 1985 and 19.1 per cent in 1998 compared to 55.5 per cent in 2014. In February this year, The Guardian reported on how kindergarten boarding school can spoil children.
It depicted one some of the parents who have come across such experiences. One Leonida Monera, a resident of Dar es Salaam said she was aware of the negative impacts of sending very young children to boarding schools but her busy family life has forced her to do so.
”It is better to send the child to a boarding school rather than leave her to a house girl who can harm her.
”We thus agreed to register our four-year-old daughter to start a nursery boarding school in Morogoro, Monera told The Guardian. Another parent Grayson Rweyemamu also this year sent his son to start Standard One at Msolwa Missionaries of Compassion Centre, also in Morogoro.
Boarding pre-schools and primary schools started in the country in the 1990s. Many of the schools have performed well, at least academically.
However, professional social workers said youth ‘raised without parental warmth, love, or caring’ are more likely to develop emotional distress, lower self esteem, schooling problems, drug use, and sexual risk behaviours.
Mussa Fumu a senior social work lecturer at the Zanzibar University and Deputy Chairman of the Association of Schools of Social Work in the country said that studies reveal that at the tender age guardians are reluctant to educate them on biological issues including sexual ones.
Fumu said maternal communication is vital in parenting and often restrictive, saying this moral tone discourages youth from indulging in immoral activities.
According to Kampala International University former Dean of Social Sciences Asia Mwanzi, lack of parental communications to youth leads to secret romantic relationships, cause early pregnancies.
She referred to a study by researchers that involved 700 adolescents that found out that single mother children or youth being raised by non biological parents engaged in sexual activity at early age compared to children raised by both parents.
She said research further proved children without parents are at greater risk of being involved in drugs use and alcohol. According to her, children with none parental guidance risk mental illness, suicide, poor educational performance, teen pregnancy, and criminality.
Sipha Shabaan of the Open University of Tanzania said keeping children away damages family cohesiveness, allowing peer influence that results in alcohol and drug use as well as influencing child sexual abuse.
A senior social worker and administrative manager for the Association of Schools of Social Work in Tanzania (ASSWOT) under the American Internal Health Alliance (AIHIA) Stella Mngodo said children in such circumstances develop high risk of committing suicide at adulthood due to psychological disorders compared to teens living with their parents.
For example in 1988, a study of preschool children admitted to New Orleans hospitals as psychiatric patients over a 34-month period found that nearly 80 percent came from fatherless homes. The study also revealed that children living with a never-married mother are more likely to develop emotional problems.
"Children who don't live with both parents face behavioural problems such as less cooperativeness and lower intelligence capacity.
“They are disobedient, have poor relationships with their mothers and fathers and finally they become antisocial and mainly criminals.
Mwajabu Possi, Professor of Special Educational at the University of Dar es Salaam, told The Guardian that taking children to boarding schools should be the last resort when considering the children’s future.
She recommended that children should join boarding school at Standard Five level and better still after completing primary education.
Extractive industries transparency bill ready - minister
Minister for Energy and Minerals, George Simbachawene told legislators here that the draft of the law to strengthen operations in the energy sector was ready.
Speaking while tabling the ministry’s Sh536,960,436,000 budget estimates for the 2015/2016 financial year, he said the law will start operating in the new fiscal year after undergoing all the necessary steps.
“The aim is to strengthen operation and oversee the wider energy sector by maintaining transparency,” he said.
In his speech, the minister dwelt on successes registered by his ministry in the 2014/2015 fiscal year.
He said more than 240,000 people have been connected to the national grid under the Rural Electrification Turnkey Project Phase II from July 2014 to April 2015, being 68 percent of the target compared to 143,113 connected to electricity in 2013/2014 fiscal year.
The regions and the village connections in brackets are Arusha (1,333), Dodoma (389), Geita (55), Iringa(73), Kagera (1,437), Katavi (73), Kilimanjaro (1,778), Lindi (114), Mtwara (213) Mara (315), Njombe 942), Simiyu (750), Singida (1,030), and Tanga (476).
He noted that through REA a total of 52 power distribution projects were implemented in Lindi and Mtwara regions at a cost of Sh 6.1 billion by March 2015, connecting 2,270 customers to the grid. Out out this 1, 038 customers reside in Lindi and 1,232 in Mtwara.
In the second phase, the government through REA in collaboration with the Tanzania Electricity Supply Company (TANESCO) conducted an evaluation on the cost of implementing projects of distributing electricity in the two regions along the natural gas pipeline from Mtwara to Somanga w Sh48billion that will be needed.
The minister elaborated that the government in 2014/15 continued implementing its distribution project off grid, under the Tanzania Energy Development and Access Expansion Project (TEDAP), under which the phase I of the sustainable solar market package (SSMP-I) was implemented and completed in Sumbawanga district in Rukwa region.
The project enabled connections of 285 solar units in various institutions, including 35 dispensaries, nine secondary schools, six health centers, 71 teachers and health officers’ houses, 240 police posts and road lights.
In Tarime, Bunda and Chemba areas, the project connected 50 solar units in schools, dispensaries, health centers, teachers and health officers’ houses.
Friday, June 5, 2015
MPINA KUCHUKUA FOMU YA URAIS JUMATAT.
MPINA KUCHUKUA FOMU YA URAIS JUMATAT.
MBUNGE wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) anatarajiwa kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia chama hicho Jumatatu ijayo.
Mpina ambaye ameshatangaza nia ya kugombea urais kupitia CCM wiki hii katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika makao makuu ya jimbo la Kisesa, Mwandoya ameliambia gazeti hili jana, kwamba kama atafanikiwa kuingia Ikulu atabadili utendaji kazi serikalini na kuleta ahueni ya maisha kwa Watanzania wote.
Alisema katika mazingira haya haiwezekani nchi kuwa na vipaumbele, huku kukiwa hakuna fedha za kugharamia vipaumbele hivyo kutokana na msingi huo Serikali ya awamu ya tano atakayoiongoza kipaumbele chake cha kwanza na cha pili ni kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya ndani na usimamizi thabiti wa fedha za na rasilimali za umma.
Alitaja vipaumbele vingine kuwa vitakuwa elimu, afya, maji, miundombinu ya kiuchumi (Barabara, umeme, mawasiliano, viwanda, kilimo vitakuwa vinabadilika kila mwaka kulingana na mahitaji.
Alisema changamoto ambazo bado zinalikabili taifa letu ni nyingi na zinahitaji kiongozi ambaye atakuwa tayari kujitoa mhanga na bila uwoga wowote hata kama ni katika mazingira magumu namna gani na hata kupoteza maisha awe tayari.
"Hapa naweka wazi kuwa ninao uwezo mkubwa wa kumudu majukumu ya Amiri Jeshi Mkuu wa nchi kwamba siogopi kitu chochote na niko tayari kwa lolote lile katika mapambano ya kulitumikia taifa langu, kwani ni heri punda aumie lakini mzigo wa tajiri ufike," alisema Mpina.
Mpina alisema kutokana na uzoefu alioupata katika kipindi chake cha miaka 10 ya ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na miaka 5 ya ubunge wa Bunge la Afrika (PAP) pia Kamishna Vyuo Vikuu (TCU) kwa kipindi cha miaka 6 amegundua kuwa changamoto kubwa kuliko zote nchini na Afrika kwa ujumla ni udhaifu katika ukusanyaji wa mapato ya ndani na usimamizi duni wa fedha na rasilimali za umma.
Hivyo alisema Serikali yeyote haiwezi kuwa na kipaumbele kama haina fedha au kama ina matumizi mabaya ya fedha na rasilimali za umma akitolea mfano hivi sasa hapa nchini matumizi ya kawaida ni makubwa kuliko mapato ya ndani, taarifa za wakaguzi CAG na PPRA zinathibitisha upotevu mkubwa wa fedha za umma kila mwaka, taarifa za TMAA na TEITI zinaonyesha utoroshaji mkubwa wa madini hapa nchini na ukwepaji wa kodi.
Mpina alisema sababu zilizomsukuma kugombea urais ni pamoja na kutoridhishwa na ukusanyaji wa mapato yasiyotosheleza mahitaji, imekuwa ikiripotiwa ukwepaji mkubwa wa kodi bandarini, mikataba mibovu ya madini na gesi, makampuni makubwa yanayokwepa kodi MNEs kwa mbinu mbalimbali ikiwemo Transfer Pricing, misamaha ya kodi isiyokuwa na tija, mfumo duni wa ukusanyaji wa maduhuli.
"Naamini kuwa endapo maeneo haya yatasimamiwa kikamilifu mapato ya serikali yataongezeka na kuwa kati ya mara 2 hadi mara 3 ya mapato yanayokusanywa hivi sasa. Nikipewa ridhaa nimejiandaa vizuri sana katika eneo hili kwa kuwekeza rasilimali fedha na watu, kuongeza ufanisi na kudhibiti mianya yote ya upotevu wa mapato ya serikali," alisema Mpina.
Pia fedha za Serikali zilizokopwa na kampuni binafsi na zimekaidi kulipa ambapo hadi leo kuna watu, kampuni zimekopa fedha za serikali zaidi ya shilingi trilioni 2 lakini wamekaidi kulipa madeni hayo pamoja na kwamba wanao uwezo wa kulipa fedha hizo na kusisitiza kuwa haiwezekani kuendelea kutoza kodi watu maskini halafu wengine wanajimilikisha fedha za umma kinyemela. Watu kama hawa katika serikali yake watakuwa wa kwanza kufilisiwa ili kurejesha fedha hizo za umma.
Mpina alisema utoroshaji wa fedha nje ya nchi Tanzania imekuwa ikiripotiwa kuwa miongoni mwa nchi ambazo utoroshaji wa fedha nje ya nchi ni mkubwa ambapo ni zaidi ya asilimia 2 ya pato la Taifa hutoroshwa na kufichwa nje ya nchi na watu wachache. Mapato ambayo yangeweza kujenga miundombinu ya kiuchumi, kutoa huduma za kijamii na kuondoa umaskini badala yake zinakuwa ni fedha za wachache.
"Kwa waliozoea kufuja, kuiba, kufanya ubadhirifu ni bora waachie ngazi kabla sijaapishwa; na kwa wale walioficha fedha nje ya nchi ni bora wazirejeshe nchini mapema kabla sijaapishwa kwani wote hawa watakiona cha mtemakuni kwani hatari inayokuja kwao ni heri wasingezaliwa," alisema huku akishangiliwa na umati mkubwa uliohudhuria mkutano huo.
Kuhusu uteuzi wa mawaziri, Mpina alisema mawaziri wengi wamekuwa wakifanya kazi kwa mazoea na kushindwa kumudu majukumu yao wamekuwa wakifanya sherehe pindi wanapoteuliwa kushika nyadhifa hizo, swali la kujiuliza iweje mtu aliyekabidhiwa majukumu mazito sawa na kutolewa kafala afanye sherehe?
"Mfano, Waziri wa Afya anawezaje kufurahia uteuzi na kufanya sherehe huku akijua kuna Watanzania wanakufa kwa kukosa matibabu? Mawaziri nitakao wateua watakuwa wametolewa kafala kulitumikia Taifa lao na hivyo hakuna namna yeyote ambayo wanaweza kufanya sherehe mbali ya kwenda misikitini na makanisani kuombewa. Hakutakuwa na muda maalum kwa mawaziri kufukuzwa na kuondolewa kazini. Na kwamba uteuzi utakuwa wa usaili wa kuandika na mahojiano ili kuthibitisha uwezo wa nafasi anayoiomba," alisema Mpina.
UCHAGUZI WA BUNGE BURUNDI WAAHIRISHWA
UCHAGUZI WA BUNGE BURUNDI WAAHIRISHWA
UCHAGUZI wa wabunge uliokuwa umepangwa kufanyika Juni 5 na ule wa rais uliokuwa umepangwa kufanyika Juni 26 umeahirishwa na hakuna tarehe mpya iliyotajwa ya kufanyika tena uchaguzi huo.
Msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza, Willy Nyamitwe, amesema kuwa tume ya uchaguzi itapanga upya zoezi hilo kwa kuzingatia mapendekezo yaliyotolewa na viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki pamoja na mipaka ya katiba ya nchi na kisha kutangaza tarehe mpya ya kufanyika zoezi hilo.
Aidha kufuatia tangazo hilo la kuahirishwa uchaguzi wa bunge na rais, kambi ya upinzani nchini humo imesema kuwa iko tayari kukutana na upande wa serikali kwa ajili ya kuendeleza mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
Hata hivyo Viongozi wa EAC waliokutana Dar es Salaam, Tanzania wiki moja iliyopita kujadili mgogoro wa Burundi, walipendekeza uchaguzi wa bunge na rais uahirishwe kwa siku 45 ili kutoa nafasi kwa hali ya mambo kutulia na wakimbizi kurudi nyumbani.
Aidha kitendo cha Rais Nkurunziza kutangaza kuwania urais kwa awamu ya tatu, ni kitendo kilichopingwa na watu wengi nchini humo na kusababisha mauaji ya watu wengi sana.
JEZI ZA TIMU YA TAIFA KUZINDULIWA LEO.
JEZI ZA TIMU YA TAIFA KUZINDULIWA LEO.
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), leo linatarajia kuzindua jezi mpya za timu ya Taifa Tanzania, ambazo zitakuwa zinatumika katika michuano mbalimbali huku kukiwa na hafla ya kuwatunuku wachezaji na klabu mbalimbali.
Sherehe hiyo itafanyika katika hoteli ya JB Belmonte iliyopo eneo la Posta jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto alisema jezi hizo zitakuwa zinatumika katika michuano mbalimbali hususani ya kimataifa pamoja na mechi za kirafiki.
Alisema wao kama TFF wameamua kuwa na jezi aina mbalimbali kwani kila nchi inakuwa na jezi zaidi ya moja.
"Mara baada ya mtu tuliyempatia kazi kukamilisha zoezi la kubuni jinsi gani jezi ikae tumeona bora tuzitambulishe ili kila mtu aweze kuzijua jezi mpya za timu ya Taifa," alisema Kizuguto.
Pia alisema katika hafla hiyo, TFF itawatunukia vyeti viongozi mbalimbali waliotoa mchango katika mpira wa miguu.
Alisema pamoja na hilo pia wadhamini, wahamasishaji pamoja na wachezaji waliochezea Taifa Stars ikiwa ni maadhimisho ya miaka 50 tangu Tanzania kujiunga na Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA).
Aliwataja baadhi yao kuwa ni Hayati baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na viongozi wote wa kitaifa walioshika nyadhifa za juu katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Viongozi wengine watakaotunukiwa ni wenyeviti wote wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (FAT) pamoja na wa TFF huku makatibu wakuu nao wakipewa tuzo zao.
Waamuzi pamoja na wachezaji waliosaidia katika kuinua soka la Tanzania watapatiwa nishani zao na shirikisho hilo baada ya kuwa mstari wa mbele.
Alisema timu ya Taifa ya mwaka 1979-1980 iliyokwenda Nigeria kushiriki michuano ya Mataifa huru barani Afrika ambapo kwa sasa Mataifa ya Afrika watapatiwa nishani zao huku wakiongozwa na nahodha Leodgar Tenga na kocha mkuu akiwa Slomir Wolk akisaidiwa na Joel Bendera.
Viongozi wengine watakaopatiwa nishani hizo ni mawaziri wote waliopita katika Wizara ya Michezo tangu kujiunga na FIFA na viongozi wote wa baraza la michezo (BMT).
Nao Wakurugenzi wote wa michezo hawakuachwa nyuma baada ya kuonesha mchango wao katika michezo ili kuweza kuinua nchi yetu upande wa soka.
Wadhamini nao hawakusahaulika kwa jitihada zao za kuinua soka la nchi yetu baada ya kuzisaidia timu mbalimbali pamoja na timu ya Taifa katika upande wa udhamini na hicho ni kitu pekee cha kuwashukuru.
Katika kuwakumbuka watangazaji wa zamani, TFF itawatunukia nishani za utangazaji bora wa mpira katika kipindi chote huku wakiwa katika mstari wa mbele kuwahabarisha wananchi habari kuhusu mpira wa miguu.
Waandishi wa habari za michezo, wahamasishaji watapatiwa nishani zao kama wadau wa mpira wa miguu na kuipa hamasa timu ya Taifa.
Mabingwa wa ligi na viongozi wa klabu tangu ligi inaanza ambapo hapo awali kulikuwepo na ligi ya Muungano wote watapatiwa nishani zao.
Alimalizia kwa kusema kuwa viongozi wote walioshiriki katika ujenzi wa viwanja watapatiwa nishani zao kama washiriki wakuu wa kuinua soka hasa upande wa miundombinu.
PATA ELIMU KUHUSU KILIMO CHA TIKTIMAJI.
PATA ELIMU KUHUSU KILIMO CHA TIKTIMAJI.
Nikilimo kinacholimwa na wakulima wengi hapa tanzania na kuendelea kuwakwamua kiuchumi japo ELIMU imekua ni gumzo kwa wakulima hawa.
Nikilimo kinacholimwa na wakulima wengi hapa tanzania na kuendelea kuwakwamua kiuchumi japo ELIMU imekua ni gumzo kwa wakulima hawa.
katika kijiji cha MARASIBORA wilayani RORYA mkoa wa MARA mkulima mmoja haliyefahamka kwa jina la OSUNGA YOHANA.hamepata kubainisha hayo katika maongezi yake wakati hakitoa ELIMU juu ya kuweza kunufaika na zao hilo halipokua kijini kwake.Pia Babu OSUNGA hametumia fursa hiyo kiomba serekali kuweza kupanga mipambo iliyo bora ili kuboresha KILIMO CHA ZAO HILO.
BWANA. BONIPHACE YOHANA pamoja na BARAKA JOSEPHAT wakiwa shambani kwao katka operesheni ya kilimo ni MAISHA KWA WOTE.
Subscribe to:
Posts (Atom)


