Saturday, April 23, 2016

Picha mbalimbali za mazishi ya mm madock kule kule kiterere

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMUAPISHA MATHIAS MEINRAD CHIKAWE KUWA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI JAPAN APRIL 19,2016

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMUAPISHA MATHIAS MEINRAD CHIKAWE KUWA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI JAPAN APRIL 19,2016

11111hggrdghRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mathias Meinrad Chikawe kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Japan, Ikulu jijini Dar es Salaam April 19, 2016
2

3Rais Dkt. Magufuli akimpongeza Mathias Meinrad Chikawe mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi Mpya wa Tanzania nchini Japani
4Rais Dkt. Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi mpya wa Tanzania nchini Japan Mathias Chikawe pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi Ikulu jijini Dar es Salaam

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFUNGUA RASMI DARAJA LA KIGAMBONI, ALIITA JINA LA DARAJA LA NYERERE APRIL 19,2016

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFUNGUA RASMI DARAJA LA KIGAMBONI, ALIITA JINA LA DARAJA LA NYERERE APRIL 19,2016


1wdfRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akihutubia wananchi wa Kigamboni kabla ya kufungua Daraja la Kigamboni katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam Aprili 19, 2016
114


2Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akikata utepe huku viongozi wengine wakiushikilia kuashiria ufunguzi rasmi wa Daraja la Kigamboni katika Wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam Aprili 19, 2016
3 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipata picha ya kumbukumbu viongozi wengine baada ya  uzinduzi rasmi wa Daraja la Kigamboni katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam Aprili 19, 2016
4 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiteta jambo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt Ramadhani Dau wakati wa  uzinduzi rasmi wa Daraja la Kigamboni katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam Aprili 19, 2016
5


c1e90399-29af-42ae-befc-e589d001d959

cb1b7676-dc39-43a4-9b95-f8bd4d789041
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na viongozi wengine wakitembea juu ya Daraja la Kigamboni baada ya kulizindua katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam  Aprili 19, 2016
1QSC

2Muonekano wa daraja la kigamboni lililofunguliwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli

RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA KUWASHUKURU WENYEVITI, MAKATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM WA MIKOA NA WILAYA ZA TANZANIA BARA NA VISIWANI IKULKU JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 21, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA KUWASHUKURU WENYEVITI, MAKATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM WA MIKOA NA WILAYA ZA TANZANIA BARA NA VISIWANI IKULKU JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 21, 2016

1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wenyeviti, Makatibu wa Chama cha Mapinduzi wa mikoa na Wilaya za Tanzania bara na Visiwani Ikulu jijini Dar es Salaam
2 Baadhi ya Wenyeviti wa CCM wa Mikoa mbalimbali wakipiga makofi kumshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati akitoa hotuba yake Ikulu jijini Dar es Salaam.
3Baadhi ya Wenyeviti wa CCM wa Mikoa mbalimbali wakipiga makofi kumshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati akitoa hotuba yake Ikulu jijini Dar es Salaam.
1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza kwa makini taarifa zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya Wenyeviti na Makatibu wa CCM kutoka mikoa mbalimbali nchini. Kulia kwake ni makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Philip Mangula na Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli.
2 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mtwara Mohamed Sinani Ikulu jijini Dar es Salaam
3 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Ally Mtopa Ikulu jijini Dar es Salaam
4Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM kutoka mikoa mbalimbali nchini mara baada ya kumaliza kuzungumza nao Ikulu jijini Dar es Salaam

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WATATU KUTOKA NCHI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 22,2019

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WATATU KUTOKA NCHI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 22,2019

1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake Francisco Montecillo Ikulu jijini Dar es Salaam. Balozi huyo wa Vatican alifika Ikulu kwa ajili ya kuagana na Rais Dkt. Magufuli mara baada ya kumaliza muda wake ya Ubalozi nchini.
2ssfgfs 
3Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mgeni wake Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake nchini Francisco Montecillo
5Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake Francisco Montecillo Ikulu jijini Dar es Salaam
4eqeqeBalozi wa Algeria hapa nchini Belabed Saada akikabidhi ujumbe uliotoka kwa Rais wa Algeria kuja kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam.
6Balozi wa Algeria hapa nchini Belabed Saada akikabidhi ujumbe uliotoka kwa Rais wa Algeria kuja kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam.
8hdhjdhRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Canada hapa nchini Alexandre Leveque mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam
7 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Balozi wa Canada hapa nchini Alexandre Leveque wapili kutoka kulia pamoja na waakilishi wengine wa Serikali pamoja na Ubalozi wa Canada.

S African leftist leader threatens violence to oust Zuma

S African leftist leader threatens violence to oust Zuma

AFP |
File photo of Leader of South Africa's left-wing Economic Freedom Fighters (EFF) Julius Malema. (Reuters photo)File photo of Leader of South Africa's left-wing Economic Freedom Fighters (EFF) Julius Malema. (Reuters photo)
JOHANNESBURG: The firebrand head of South Africa's radical opposition Economic Freedom Fighters, Julius Malema, has warned he could seek to remove the government "through the barrel of a gun."

"We are not scared of the army. We are not scared to fight. We will fight," he told the pan-Arab Al-Jazeera network in an interview to be broadcast on Sunday.

Asked by the interviewer if that meant he was ready to take up arms, Malema said "Yeah, literally I mean it literally. We are not scared ..."

"We will run out of patience very soon and we will remove this government through a barrel of a gun".

The EFF has been demanding the ouster of President Jacob Zuma for several months, accusing him of corruption.

Late last month, South Africa's constitutional court ruled Zuma had violated the constitution in using public funds to upgrade his private residence and said he must repay the money.

EFF deputies regularly disrupt parliamentary sessions, sometimes shouting anti-Zuma slogans.

Leonardo DiCaprio tells leaders 'the world is now watching' at UN climate signing

Leonardo DiCaprio tells leaders 'the world is now watching' at UN climate signing

DiCaprio tells leaders 'the world is now watching' at UN climate signing Play! 01:08
Hollywood actor and environmental campaigner Leonardo DiCaprio urged world leaders signing the Paris climate deal on Friday to deliver on their commitments to cut greenhouse gases, telling them: "The world is now watching."
"You will either be lauded by future generations or vilified by them," said DiCaprio at the UN ceremony where 171 nations lined up to sign the landmark accord.
"We can congratulate each other today, but it will mean absolutely nothing if you return to your countries and fail to push beyond the promises of this historic agreement."
"Now is the time for bold, unprecedented action."
Oscars 2016: Leonardo DiCaprio's Best Actor speech Play! 02:25
The actor, who this year won his first Oscar for his portrayal of a frontiersman in "The Revenant," spoke in his role as UN Secretary-General Ban Ki-moon's "messenger of peace with a special focus on climate change."
The 41-year-old celebrity returned to the United Nations after delivering a much-watched address to world leaders during a UN climate summit in September that set the tone for the Paris accord.
DiCaprio said the record turnout at the signing ceremony was a sign of hope, but he argued that sticking to the Paris agreement would not be enough to confront climate change.
Leonardo DiCaprio attacks 'corporate greed' of oil, gas and coal companies at Davos 2016 Play! 01:20
"An upheaval, a massive change is required right now, one that leads to a new collective conscience," he said.
"Our planet cannot be saved unless we leave fossil fuels in the ground, where they belong," he said, drawing applause from the chamber.
"Look at the delegates around you," he added. "It is time to ask each other what side of history will you be on."
"After 21 years of debates and conferences, it is time to declare no more talk, no more excuses, no more ten-year studies, no more allowing the fossil fuel companies to manipulate and dictate the science and policies that affect our future."