UKUSANYAJI WA MAONI YA KUBORESHA SERA YA TAIFA YA ARDHI YA 1995 KANDA YA ZIWA.
Mjumbe wa Kamati ya kukusanya maoni ya kuboresha Sera ya Taifa ya Ardhi ya 1995 Bw. David Malisa akimpa maelekezo jinsi ya kujaza Dodoso la Kukusanya Maoni Mkazi wa Kijiji cha Nyanguge Magu-Mwanza.
Betha Muluu Afisa Ardhi na Maliasili wilaya ya Ngara mkoani Kagera akitoa maoni yake kwenye Kamati ya kukusanya Maoni ya kuboresha Sera ya Taifa ya Ardhi ya 1995 ilipokuwa mkoani Mwanza.
11 May, 2016
No comments:
Post a Comment