Tuesday, May 17, 2016

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AONDOKA KAMPALA UGANDA NA KUREJEA NCHINI TANZANIA MEI 13,2016

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AONDOKA KAMPALA UGANDA NA KUREJEA NCHINI TANZANIA MEI 13,2016

1Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono Kikundi cha ngoma za asili cha Entebe nchini Uganda wakati akiondoka kurejea nchini
2

3Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipita mbele ya gwaride rasmi lililoandaliwa kwa ajili ya kumuaga katika uwanja wa ndege wa Entebe wakati akiondoka kurejea nyumbani Tanzania.
4 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipigiwa makofi na baadhi ya viongozi mbalimbali wakati alipowasili kwenye hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Rais wa Uganda Yoweri Museveni kwa Viongozi wakuu wanchi mbalimbali siku walipowasili Kampala nchini Uganda.
5

6

7Waandishi mbalimbali wa Habari kutoa nchi tofauti wakiwa na shauku ya kupata picha ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kumalizika kwa sherehe za uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Uganda Yoweri Museveni zilizofanyika kwenyeuwanja wa Uhuru wa Kololo, Kampala nchini Uganda. Katika Picha hiyo Rais Dkt. Magufuli alikuwa akizungumza na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta

25% ya wanawake waja wazito huavya mimba

25% ya wanawake waja wazito huavya mimba

  • 12 Mei 2016
Image copyright SCIENCE PHOTO LIBRARY
Mwanamke mmoja kati ya wanne waja wazito huavya mimba kila mwaka, takwimu kutoka shirika la afya duniani na taasisi ya Guttmacher zinaashiria.Ripoti hiyo kutoka jarida la Lancet inasema visa milioni 56 vya uavyaji mimba hufanyika kila mwaka - kiwango kilicho juu kuliko ilivyodhaniwa.
Watafiti wanakiri kuwa viwango hivyo vimeimarika katika nchi nyingi tajiri lakini wanaonya kuwa linaficha ukosefu wa mabadiliko katika maeneo maskini katika miaka 15 iliopita.
Wataalamu wanataka mbinu mpya ziidhinishwe za kuzuia mimba
Hatua mpyaWanasayansi wanasema idadi ya visa vya uavyaji mimba kila mwaka vimeongezeka kutoka milioni 50 kwa mwaka kati ya mwaka 1990-1994 hadi milioni 56 kwa mwaka kati ya 2010-2014.
Ongezeko hilo linashuhudiwa zaidi katika nchi zinazoendelea - chanzo kikuu kikiwa ni ongezeko la idadi ya watu na haja ya kuwa na familia ndogo.
Hesabu inaonyesha kwamba wakati visa vya uavyaji vinasalia kama vilivyo katika mataifa maskini, katika maenoe tajiri visa hivyo vimeshuka kutoka wanawake 25 hadi 14 kati ya wanawake 100 walio katika umri wa kuzaa.
Amerika kusini imetajwa kuwa kati ya wanawake 3 mmoja huavya mimba kiwango kilicho juu kuliko eneo lingine duniani.
Image copyright AFP
Ulaya magharibi kuna ongezeko dogo la visa hivyo - ambavyo watafiti wanaashiria huedna ni kutokana na ongezeko la wanawake wanaohama kutoka Ulaya mashariki na maeneo mengine ya mbali zaidi.
'Unyanyapaa'Inawezekana kwamba baadhi hawatambui kwamba kuna huduma za kuzuia mimba au wanatoka nchi ambazo visa vya uavyaji vipo juu, watafiti wanasema
Dkt Bela Ganatra, kutoka WHO, anasema: "visa vingi yva uavyaji mimba katika utafiti wetu vinadhihirsha zaidi haja ya kuimarisha na kupanua huduma za kuzuia mimba.
"kuwekeza katika mbinu za kisasa kuzuia mimba sio ghali sana kwa wanawake na jamii kama kuwana mimba zisizohitajika na pia hatari za uavyji mimba."
Lakini utafiti huo umeashiria kwamba kupata suluhu sio jambo rahisi kama kuimarisha kufikiwa huduma za kuzuia mimba.
Wanawake wengi wanasema waliamua kututumia njia za kuzuia mimba kwa sababu walikuwa na wasiwasi wa madhara ya mbinu hizo, na pia walikabiliwa na unyanyapaa au waliona kuna hatari ndogo ya kushika mimba.
Katika ripoti nyingine, Dkt Diana Greene Foster, wa chuo kikuu cha California, San Francisco, amesema hakuna jibu litakalokuwa sawa kwa kila mtu.
Ameongeza: "wasiwasi wa afya na kutopendwa madhara ya mbinu za kuzuia uzazi ni kawaida katika nchi tofuati, na linaashiria haja ya kuidhinihsa mbinu mpya za kupanga uzazi na mitazamo inayolenga wanawake zaidi katika utoaji huduma hizo."

Rais Mugabe awa babu Zimbabwe

Rais Mugabe awa babu Zimbabwe

  • Saa 3 zilizopita
Image copyright Reuters
Image caption Mugabe ameongoza Zimbabwe tangu 1980
Kiongozi wa muda mrefu wa Zimbabwe Robert Mugabe, 92, amekuwa babu rasmi.
Hi ni baada ya bintiye wa pekee Bona Chikore kujifungua mtoto mvulana katika hospitali moja nje ya nchi hiyo.
Bi Chikore alijifungua mtoto huyo mwezi uliopita, gazeti la serikali la Herald limeripoti.
Image copyright RIA Novosti
Bw Mugabe amesema mkewe Grace kwa sasa yuko pamoja nab inti huyo wao na mjukuu wao na kwamba watarejea Zimbabwe mwezi ujao.

Libya kupewa silaha kupambana na IS

Libya kupewa silaha kupambana na IS

  • Saa 5 zilizopita
Image caption Viongozi wakijumuika katika mazungumzo ya Libya
Nchi 25 ikiwemo Marekani zimekubaliana kuipa silaha serikali ya Libya kwa lengo la kuiwezesha kukabiliana na wanamgambo wa IS wanaoendelea kuisumbua nchi hiyo.
Muungano wa kimataifa umesema kuwa utalegeza vikwazo vya silaha vya Umoja wa Mataifa juu ya Libya kutoa silaha kwa vikosi vinavyounga mkono serikali mpya ya Tripoli.
Waziri mkuu wa Libya Fayez al-Sarraj, amesema kuwa IS wamekuwa kikwazo kikubwa sana kwa nchi yake na msaada huo wa kimataifa utakuwa muhimu katika kupambana na ugaidi kwa mafanikio.
Nchi hizo tano ambazo ni wanachama wa kudumu wa baraza la usalama la umoja wa mataifa walifikia makubaliano hayo baada ya mazungumzo mjini Vienna.Libya imekumbwa na machafuko tokea kuangushwa kwa kanali Gaddafi mwaka 2011.

Uh, Barack Obama is totally in the new ‘Mr. Robot’ trailer

Uh, Barack Obama is totally in the new ‘Mr. Robot’ trailer

USA
The trailer for the second season of the USA Network’s acclaimed psychological thriller Mr. Robot was released today. Besides looking as deliciously suspenseful as we’ve come to expect from the hacker drama, this clip has a secret weapon: An apparent cameo from one Barack Obama, an up-and-coming actor you may be familiar with from his previous role as president of the United States of America.
Obama appears on a TV screen in the midst of what looks like a garden-variety press conference. His comments are generic as you’d expect—at least, they start off that way. “There hasn’t been anything like this in the past,” Obama says. “This is going to be affecting our economy in ways that are extraordinarily significant.”
This statement sounds like it could have been repurposed from any old speech precisely because it was. In fact, those two sentences are stitched together from the president’s end-of-the-year remarks to the White House press corps in December 2014. In that context, the first line referred to normalizing relations with Cuba and the second—more in line with the themes of Mr. Robot—to cyber attacks.
But from there, the voice of Obama gets awfully specific. “The FBI announced today that Tyrell Wellick and fsociety engaged in this attack,” he says, seemingly commenting directly on the events of the show’s first season. Uh…
Former E Corp executive and forever sociopath Tyrell Wellick (Martin Wallström) is a Mr. Robot character, and fsociety is the Coney Island-based hacker group led by the titular Mr. Robot (Christian Slater). Both, of course, are fictional, and very, very unlikely to have ever been mentioned in POTUS stock footage that somebody in the production office happened to find lying around.
Golden Globe or no Golden Globe, it would be an unbelievable coup if the series managed to recruit our Commander in Chief, seasoned TV star though he may be, to record some dialogue. But if not Obama, that’s one hell of a voice actor: Who? How? What?
Then again, with a little movie magic, the 1997 sci-fi flick Contact borrowed real-life footage of Bill Clinton discussing a rock from Mars and made it sound like the then President was talking about the extraterrestrial signals at the heart of the plot. I wouldn’t put anything past Mr. Robot, particularly not a feat of editing.
We’ve reached out to the USA Network in the hopes of getting to the bottom of this presidential mystery. Stay tuned.
Mr. Robot returns July 13 at 9 p.m. ET on the USA Network.

US, other powers want to arm Libyan government

US, other powers want to arm Libyan government

by rorya.

VIENNA (AP) — In a move fraught with risk, the United States and other world powers said Monday they would supply Libya's internationally recognized government with weapons to counter the Islamic State and other militant groups gaining footholds in the chaos-wracked country's lawless regions.
Aiming at once to shore up the fragile government, and prevent Islamic State fighters and rival militias from further gains, the U.S., the four other permanent U.N. Security Council members and more than 15 other nations said they would approve exemptions to a United Nations arms embargo to allow military sales and aid to Libya's so-called "Government of National Accord."
In a joint communique, the nations said that while the broader embargo will remain in place, they are "ready to respond to the Libyan government's requests for training and equipping" government forces.
E.U foreign policy chief Federica Mogherini arrives for Libya talks in Vienna, Austria, Monday May 16, 2016. (AP Photo/Ronald Zak)
E.U foreign policy chief Federica Mogherini arrives for Libya talks in Vienna, Austria, Monday May 16, 2016. (AP Photo/Ronald Zak)
"We will fully support these efforts while continuing to reinforce the UN arms embargo," the communique said.
With support from all five permanent members of the U.N. Security Council, the plan is unlikely to face significant opposition from any quarter.
The communique was issued at the end of the talks that gathered U.S. Secretary of State John Kerry and top officials from more than 20 other nations to discuss ways to strengthen Libya's fledgling government. The aim is to give the internationally recognized administration more muscle in fighting Islamic State radicals and end its rivalry with a group to the east claiming legitimacy.
The step will boost the government's efforts to consolidate power and regain control over Libyan state institutions like the central bank and national oil company. However, it also comes with risks, not least of which is that the arms may be captured or otherwise taken by the Islamic State or other groups.
Kerry called the plan "a delicate balance."
"But we are all of us here today supportive of the fact that if you have a legitimate government and that legitimate government is fighting terrorism, that legitimate government should not be victimized by (the embargo)," he told reporters.
Libyan Premier Fayez al-Sarraj said his government would soon submit a weapons wish list to the Security Council for approval.
"We have a major challenge ahead of us," in fighting extremists, he said. "We urge the international community to assist us."
Before the meeting, German Foreign Minister Frank-Walter Steinmeier outlined the high stakes at hand.
"The key question is whether Libya remains a place where terrorism, criminal human smuggling and instability continue to expand, or if we are able, together with the government of national unity to recover stability," he told reporters.
The challenges are daunting.
Libya descended into chaos after the toppling and death of Moammar Gaddafi five years ago and soon turned into a battleground of rival militias battling for powers. More recently, the power vacuum has allowed Islamic State radicals to expand their presence, giving them a potential base in a country separated from Europe only by a relatively small stretch of the Mediterranean Sea.
Also worrying for Europe is the potential threat of a mass influx of refugees amassing in Libya, now that the earlier route from Turkey into Greece has been essentially shut down. British Foreign Secretary David Hammond said his government had received a request from the Libyan government to bolster its Coast Guard — a project "which will address Libyan concerns about smuggling and insecurity on their border but will also address European concerns about illegal migration."
In Libya, meanwhile, the U.N.-established presidency council on Monday effectively gave the go-ahead for 18 government ministers to start work, even though they have not received backing from the parliament.
The council was created under a U.N.-brokered unity deal struck in December to reconcile Libya's many political divisions. It won the support of a former powerbase in the country's capital, Tripoli, but failed to secure a vote of confidence by the country's internationally recognized parliament, based in Tobruk, a city in eastern Libya.
The U.N. deal also created the internationally recognized government, through a de facto Cabinet to administer the country under Prime Minister-designate Fayez Serraj and the 18 ministers will answer to him.
Divisions in theTobruk parliament between boycotters and supporters of the new government have prevented the house from reaching a quorum to endorse the council.
U.S. Secretary of State John Kerry , center, , Italian Foreign Minister Paolo Gentiloni , left, and U.N. Libya envoy Martin Kobler  attend the ministerial me...
U.S. Secretary of State John Kerry , center, , Italian Foreign Minister Paolo Gentiloni , left, and U.N. Libya envoy Martin Kobler attend the ministerial meeting on Libya in Vienna, Austria, Monday May 16, 2016. (Leonhard Foeger/Pool Photo via AP)
U.S. Secretary of State John Kerry , center, , Italian Foreign Minister Paolo Gentiloni , left, and U.N. Libya envoy Martin Kobler  attend the ministerial me...
U.S. Secretary of State John Kerry , center, , Italian Foreign Minister Paolo Gentiloni , left, and U.N. Libya envoy Martin Kobler attend the ministerial meeting on Libya in Vienna, Austria, Monday May 16, 2016. (Leonhard Foeger/Pool Photo via AP)
British Foreign Secretary Philip Hammond, center, arrives for Libya talks in Vienna, Austria, Monday May 16, 2016. (AP Photo/Ronald Zak)
British Foreign Secretary Philip Hammond, center, arrives for Libya talks in Vienna, Austria, Monday May 16, 2016. (AP Photo/Ronald Zak)
U.S. Secretary of State John Kerry ,  left, arrives for Libya talks in Vienna, Austria, Monday May 16, 2016. (AP Photo/Ronald Zak)
U.S. Secretary of State John Kerry , left, arrives for Libya talks in Vienna, Austria, Monday May 16, 2016. (AP Photo/Ronald Zak)
German Foreign Minister Frank-Walter Steinmeier arrives for Libya talks in Vienna, Austria, Monday May 16, 2016.  As top diplomats begin meeting on bringing ...
German Foreign Minister Frank-Walter Steinmeier arrives for Libya talks in Vienna, Austria, Monday May 16, 2016. As top diplomats begin meeting on bringing peace to Libya, Germany's foreign minister says it is too early to say whether talks will succeed in moving toward that goal.(AP Photo/Ronald Zak)

Sunday, May 1, 2016

Mwasomola na somo la sauti kuu.

SAUTI KUU AU KILIO KIKUU CHA MWISHO

imeandaliwa na Mch. Kenani Mwasomola, Uwakili - SHC

Fungu kuu: Ufunuo 18:1 – 5. “Baada ya hayo naliona Malaika mwingine,
akishuka kutoka mbinguni, mwenye mamlaka kuu; na nchi
ikaangazwa kwa utukufu wake. Akalia kwa sauti kuu, umeanguka
maskani ya mashetani, na ngome ya kila roho mchafu, na ngome ya
kila ndege mchafu mwenye kuchukiza, kwa kuwa mataifa yote
yamekunywa mvinyo ya ghadhabu ya uasherati wake, na wafalme wa
nchi wamezini naye, na wafanya biashara wa nchi wamepata mali
kwa nguvu za kiburi chake”
Utangulizi: Neno malaika, ambalo kwa kiyunani ni “angelosi”
humaanisha mjumbe au taarishi. Neon hili limetumiwa sana katika
kitabu cha Ufunuo. Mahala pengine limetumiwa kumaanisha malaika
wa Mungu watokao juu. Hawa nao ni wajumbe wa Mungu waletao
habari njema kutoka juu mbinguni kwa wanadamu. Lakini pia
wanadamu wanaomwamini Yesu na kupeleka injili ya wokovu kwa
wanadamu wenzao nao hujulikana kama Malaika – wajumbe wa
Bwana.
MALAIKA WA KILIO KIKUU: katika Ufunuo 14:8 ujumbe wa malaika wa
pili unasikika “---- umeanguka, umeanguka Babeli, mji ule ulio
mkubwa, maana ndio uliowanywesha mataifa yote mvinyo ya
ghadhabu ya uasherati wake.
Je Babeli anayetajwa kwamba umeanguka ni nini? Babeli kwangu
kabisa humaanisha machafuko. Babeli ni kanisa la kiulimwengu na
lililoenea ulimwenguni kote. Babeli imeyafanya mataifa yote kunywa
mvinyo ya ghadhabu ya uasherati wake ambayo ni mafundisho ya
uongo yaliyo kinyume na neno la Mungu. Hivyo Babeli huwakilisha
kanisa la kidunia tu.
Uriah Smith, The prophecies of Daniel end the Revelation
(Washington, DC: Review and Herald Publishing Association, 1994) pg.
646 – 7.
Babeli ule mji mkubwa unaundwa na makundi matatu. Hivyo dini
kubwa ya dunia hii zinaweza kupangwa katika vichwa vitatu:
1. ya kwanza na ya zamani sana na iliyoenea sana ni upagani (ukafiri
yaani ushenzi) unawakilishwa na joka.
2. Ya pili ni uasi mkubwa wa upapa, unawakilishwa na mnyama.
3. Ya tatu ni mabinti(makanisa yanayofuata uasi wa upapa) au wazao
wa kutoka kanisa la Rumi ya kiroho, yakiwakilishwa na mnyama
mwenye pembe mbili, ingawaje hiyo haichukui yote.
Vita, mateso, unafuatisha namna ya dunia hii, mtindo wa kidini
ibada ya (mali), kutafuta anasa, na kudumisha kila kosa la kanisa
katoliki, kwa huzuni hudhihirisha makanisa ya Kiprotestant kuwa
sehemu muhimu ya Babeli mkuu 2. Ujumbe wa unaanguka kwa Babeli
ulitolewa kwa mara ya kwanza mnamo 1844 na wanamarejeo watu
walioamini kuwa Yesu angerudi mnamo 22 Oktoba 1844. Huu ujumbe
ulikuwa ni onyo kwa watu ambao walikanusha na kupinga ujumbe wa
marejeo ya Yesu Kristo. Ujumbe huo utarudiwa tena kwa usahihi
kabisa na malaika mwingine ambaye awafuata wale malaika watatu
wa Ufunuo 14:6 – 12. ujumbe wa malaika wa Ufunuo 18:1 – 5
utatolewa kwa nguvu ya mvua ya masika Roho Mtakatifu
atakayemwagwa kwa wingi juu ya watu wa Mungu walio waaminifu
katika kufuata neno la Mungu na wenye imani ya Yesu.
Watu wa Mungu, wakiwa wamejazwa Roho Mtakatifu (Mvua ya
masika) watasonga mbele kwa nguvu wakitoa mwito kwa watu
walioko katika Babeli ili watoke kurudi wasije wakashiriki
maangamizo yake yaliyo ya hakika. [Uriah Smith, The Prophecies of
Daniel and the Revelation, P. 647.]
Yohana anaandika kisha nikasikia sauti nyingine kutoka
mbinguni ikisema, tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi
zake, wala msipokee mapigo yake. Kwa maana dhambi zake zimefika
hata mbinguni, na Mungu amekumbuka maovu yake (Ufunuo 18:4 –
5) “---- ujumbe wa malaika wa tatu utatangazwa kwa uweza mkuu na
wale wanaotoa onyo la mwisho dhidi ya mnyama na sanamu
yake” (8T 118). Matangazo hayo, yakiungana na ujumbe wa malaika
wa tatu yanakuwa sehemu ya onyo la mwisho litakalotolewa kwa
wakazi wa dunia hii (GC 604). “WATU WA Mungu ambao bado
watakuwa Babeli wataitwa ili wajitenge na ushirika wake. Ujumbe
huu ndio wa mwisho ambao utapata kutolewa kwa ulimwengu” (GC
390)
Watu maelfu kwa maelfu watatoka kutoka katika Babeli na kujiunga
na watu wa Mungu na Mungu atatia muhuri wake juu yao.
MAIGIZO YA SHETANI KABLA YA KUTIMIZWA KWA UFUNUO 18:1
Mjumbe wa Mungu, Ellen G. White anasema ya kwamba, Adui
wa roho za watu anataka kuzuia kazi hii, na kabla ya wakati wa
vuguvugu kama hilo kuja, atajitahidi kulizuia kwa kuleta uamsho wa
bandia. Katika yale makanisa ambayo naweza kuyaleta chini ya uwezo
wake wa madanyanyo atafanya ionekane kuwa mbaraka pekee wa
Mungu unamwagwa juu yao, kutaonekana kila kinachodhaniwa kuwa
ni mwamko mkubwa wa mambo ya kidini. Makutano ya watu
watashangilia wakisema kwamba Mungu anatenda maajabu kwa ajili
yao, wakati kazi hiyo ni ya roho yule mwingine. Akiwa amejificha
chini ya vazi la dini, shetani atajaribu kuueneza ushawishi wake katika
ulimwengu wote wa Kikristo (GC 464)
Kila siku watu wanasikia na pengine hata kushuhudia maajabu
yanayofanywa kwa jina la Yesu lakini kwa undani wake hasa maajabu
hayo yanafanywa kwa uwezo wa adui Ibilisi. Katika siku hizi za
mwisho shetani, kupitia watumishi wake, atafanya ishara kubwa za
uponyaji na hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu ya
nchi mbele ya wanadamu. Naye atawakosesha wale wakaao juu ya
nchi kwa ishara zile alizopewa kuzifanaya (Ufunuo 13:13,14). Watu
wengi watakoseshwa kwa ishara hizo na maajabu hayo. Lakini watu
wa Mungu kamwe hawatashibishwa. Daima wao watakumbuka, hata
ishara kubwa na maajabu yasiyo ya kawaida yatakapotendeka mbele
ya macho yao, neno lao ni moja tu, imeandikwa na waende kwa
sheria na ushuhuda, ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, kama
mtu anayefanya ishara za uponyaji, unenaji wa lugha, kufufua watu au
hata kushusha moto kutoka juu mbinguni, hashiki amri za Mungu
na wala hana ushuhuda wa Yesu ambao ni Roho ya unabii(Ufunuo
19:10) huyo mtu hakutumwa na Mungu na roho itendayo kazi ndani
yake siyo ya Mungu. Watu wa Mungu washikao amri za Mungu
(Ufunuo 14:12)nao watafanya ishara na miujiza. Lakini daima
watakumbuka kuwa imani yao haikujengwa juu ya miujiza na
maajabu bali imani yao imejengwa juu ya msingi wa mitume na
manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni.
(Waefeso 2:20)
TUWEZAJE KUPAMBANUA KATI YA UAMSHO BANDIA WA SHETANI NA SAUTI
KUU?
Mjumbe wa Mungu, anaweka bayana ya kwamba katika
uamsho bandia, kuna msisimuko wa kihisia kuchanganya ukweli na
uongo, ambavyo vimekusudiwa kuwapotosha watu. Hata hivyo,
hakuna haja kwa yeyote kudanganyika. Katika nuru ya neno la Mungu
si vigumu wanapodharau ushuhuda wa Biblia, wakigeukia na
kuziacha zile kweli zilizo dhahiri na zenye kuupima moyo na ambazo
zinahitaji kujikana nafsi na kuukataa kabisa ulimwengu, hapo ndipo
tunapoweza kuwa na uhakika ya kwamba mbaraka wa Mungu,
haujatolewa. Na kwa kanuni ile aliyoitoa Kristo mwenyewe,
mtawambua kwa matunda yao (Mathayo 7: 16),ni dhahiri kwamba
vuguvugu hilo siyo kazi ya Roho wa Mungu (GC 464, 465)
Je Ni lini ambapo anguko la Babeli (Ufunuo 18:2) litakuwa
limetimilika hata Ufunuo 18:2 liweze kuhubiriwa kama uliotimia
kabisa? “ uliowanywesha mataifa, yote mvivyo wa ghadhabu ya
uasherati wake” (Ufunuo 14:8) Mafundisho ya uongo. Jambo hilo
linafanyikaje? Kwa kuwalazimisha watu kuikubali sabato ya uongo(8T
94) Jumapili ndiyo sabato ya uongo. Ni mpaka hapo hali hiyo
itakapofikiwa na muungano wa kanisa lna ulimwengu
utakapokamilika anguko la Babeli litakapokuwa limekamilika. Badiliko
ni la kuendelea, na utimizo kamili wa ufunuo 14:8 bado uko siku za
usoni (GC 390).
Kupitishwa kwa amri ya Jumapili kutakuwa ndiyo mwanzo wa
taabu na mateso.Lakini “mwanzoni mwa wakati wa taabu, tulijazwa
na Roho Mtakatifu tulipoondoka kwenda kuitangaza Sabato kwa
ukamilifu zaidi” (EW 33, NA 85). “Sabato hiyo ya uongo italazimishwa
kwa sheria ya ukandamizaji. Shetani na malaika zake wako macho
sana, tena wanashughulika kwa nguvu sana -----. Lakini wakati shetani
atakapofanya kazi kwa maajabu yake ya uongo, ndipo utakapotimizwa
wakati uliotabiriwa katika Ufunuo, na malaika yule mwenye mamlaka
kuu atakayeitangaza dunia yote kwa utukufu wake, atatangaza anguko
la Babeli, na kuwaita watu wa Mungu walioko huko watoke (7BC 985,
RH 13/12/1892).
SAUTI KUU ITAFANANA NA PENTEKOSTE.
Kazi hiyo itafanana na ile ya siku ya pentekoste. Kama vile
mvua ya vuli iliyotolewa kwa kumwaga Roho Mtakatifu mwanzoni
mwa kazi ya injili ili kusababisha kuchipua kwa mbegu zile za
thamani, ndivyo “ Mvua ya masika itakavyotolewa mwishoni ili
kukomaza mavuno” (GC 611)…“Kumwagwa kwa Roho katika siku za
mitume ilikuwa ni mvua ya vuli, na matokeo yake yalikuwa ya
utukufu sana. Lakini mvua ya masika itakuwa nyingi zaidi” (Ev 701).
Je, watoto wa Mungu ambao bado watakuwa Babeli
wataupokea mwito wa sauti kuu? Jawabu ni ndiyo. Mjumbe wa
Mungu Ellen White anasema, Roho zilizokuwa zimetawanyika katika
mashirika yote ya kidini ziliitikia mwito na zile zilizokuwa za thamani
ziliharakishwa kutoka katika makanisa yakwenda kuangamizwa, kama
vile Lutu alivyoharakishwa kutoka Sodoma kabla ya maangamizi yake
(EW 279). Hakuna chochote kitakachoweza kuwazuia wabakie
Babeli. Mahusiano ya kifamilia, mahusiano ya kikanisa, sasa hayana
uwezo wowote wa kuwazuia. Ukweli ni wa thamani zaidi kuliko
mengine yote.Bila kujali mawakala walioungana dhidi ya ukweli, idadi
kubwa ya watu, watachukua msimamo wao upande wa Bwana. (GC
612).
WAADVENTISTA WASABATO AMBAO HAWAJAONGOKA.
Jambo la kusikitisha, Waadventista wa Sabato ambao
hawajaongoka hawatatambua sauti kuu na wataipinga kazi
hiyo. White anasema kuwa “kutakuwa na udhihirisho wa ajabu wa
uweza wa Mungu katika makanisa yetu, lakini uweza huo hautawajia
wale ambao hawajajinyenyekeza wenyewe mbele za Bwana, na
kuifungua mioyo yao kwa maungamo na toba katika udhihirisho wa
uweza unaoiangaza dunia yote kwa utukufu wake, wao wataona tu
kuwa ni mila fulani ambacho katika upofu wao watafikiria kuwa ni
cha hatari, kitu fulani kitakachoamsha hofu zao, nao watajidhatiti
kuupinga kwa kuwa Bwana hafanyi kazi yake kulingana na matarajio
na mawazo yao, basi, wataipinga kazi hiyo. Watasema “kwa nini sisi
tusiweze kumjua Roho wa Mungu wakati tumekuwa kazini kwa miaka
mingi sana?” RH 7/11/1918…. “Dhoruba inapozidi kukaribia, kundi
kubwa la wale wanaodai kuwa na imani katika ujumbe wa malaika
wa tatu lakini ambao hawakutakaswa kwa kuitii ile kweli, wataziacha
nafasi zao na kujiunga katika safu za wapinzani” (GC 608)
Huu ndio wakati wa kila mmoja kuchukua msimamo thabiti
kuwa upande wa Bwana. Wale wanongojea wakati fulani wa pekee
ambamo watategemea tabia zao kugeuka ghafla na kuwa kama Kristo,
wakati huo hawataupata. Leo hii ndivyo nafsi na wakati wa kupata
mvua ya vuli (Roho Mtakatifu wa kwanza) tayari kwa kupokea mvua
ya masika yaani Roho Mtakatifu atakayemwagwa bila kipimo wakati
wa mwisho na atayewawezesha malaika wa Ufunuo 18:1 – 5 kupeleka
ujumbe wa onyo la mwisho kwa kishindo kikubwa sana.
“Wakati uweza wa Mungu utakapounganishwa na juhudi za
binadamu, kazi itaenea kama moto katika nyasi kavu zilizokatwa
Mungu atatumia mawakala ambao asili yao mwanadamu hataweza
kuifahamu, malaika watafanya kazi ambayo wanadamu wangeweza
kupata mibaraka ya kutimiza, kama wasingepuuzia kuitikia madai ya
Mungu” (RH 15/12/1885)
Mambo makuu ya kufanya ili kujiandaa kwa wakati huo wa mwisho:-
1. Soma neno la Mungu (Biblia) kila siku
2. Omba bila kukoma. Uwe na maombi ya mnyororo katika maisha
yako yote.
3. Fanya kazi ya kuihubiri Injili waweza kuhubiri kwa njia ya kupeleka
vitabu, sauti ya unabii, Biblia yasema, masomo ya mgunduzi,
mahubiri ya hadhara, kuonana kuombea wagonjwa hospitalini na
majumbani n.k. Mungu atatungoja sisi kama watu wake tuweze
kuifanya kazi yake kwa mali, nguvu, na akili zetu.
Wito: ni nani basi ajitoaye kwa moyo ili ajiweke wakfu kwa Bwana?
(1Nyakati 29:5)