Thursday, June 8, 2017

Ushahidi wa Boss FBI wamtesa Trump

Ushahidi wa Boss FBI wamtesa Trump

Baraka...
Kamati ya Bunge la Seneti la masuala ya usalama nchini Marekani imechapisha ushahidi utakaotolewa na mkurugenzi aliyetimuliwa kazi FBI ambaye amesema Rais Trump alimtaka mkurugenzi huyo kuacha kumchunguza mshauri wa zamani wa masuala ya usalama. 

James Comey alitoa uchambuzi wa ushaidi wa mazungumzo kati yake na rais Trump aliyofanya naye mara tano wakati Trump alipokuwa akirudia kutaka amsikilize na kumheshimu wakati ambapo Comey anasema alikuwa akifanya kazi zake bila kuegemea upande wowote. 

Wakili wa Trump amesema rais Trump anahisi kuna ukweli kwa uthibitisho kuwa yeye mwenyewe binafsi hakuwa akichunguzwa kwa timu yake ya kampeni zake kuhusishwa na Urusi. 

Maafisa wawili wanaohusika na usalama,Mike Rogers na Dan Coats wamewaambia maseneta kuwa hawakuwahi kulazimishwa kufanya jambo lolote ambalo liko kinyume na sheria

Monday, June 5, 2017

Picha mbalimbali toka Siasa nikilimo 2017... Uvccm

Mkuu wa wilaya Bw. kasesela.katika picha ya pamoja ma Bw. zenda kiongozi wa Uvccm taifa katikati ni Bw. Victor Y. Otieno

Makamu wa Rais wa chuo Kikuu cha Iringa katika tabasamu.










































Dc. Kasesela katika Ubora wa hapa kazi tu


Mkuu wa Mkuo Iringa mwishoni mama kipenzi cha wengi katika picha ya pamoja na Naibu katibu Mkuu CCM Taifa.