Saturday, April 23, 2016

Picha mbalimbali za mazishi ya mm madock kule kule kiterere

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMUAPISHA MATHIAS MEINRAD CHIKAWE KUWA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI JAPAN APRIL 19,2016

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMUAPISHA MATHIAS MEINRAD CHIKAWE KUWA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI JAPAN APRIL 19,2016

11111hggrdghRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mathias Meinrad Chikawe kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Japan, Ikulu jijini Dar es Salaam April 19, 2016
2

3Rais Dkt. Magufuli akimpongeza Mathias Meinrad Chikawe mara baada ya kumuapisha kuwa Balozi Mpya wa Tanzania nchini Japani
4Rais Dkt. Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi mpya wa Tanzania nchini Japan Mathias Chikawe pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi Ikulu jijini Dar es Salaam

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFUNGUA RASMI DARAJA LA KIGAMBONI, ALIITA JINA LA DARAJA LA NYERERE APRIL 19,2016

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFUNGUA RASMI DARAJA LA KIGAMBONI, ALIITA JINA LA DARAJA LA NYERERE APRIL 19,2016


1wdfRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akihutubia wananchi wa Kigamboni kabla ya kufungua Daraja la Kigamboni katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam Aprili 19, 2016
114


2Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akikata utepe huku viongozi wengine wakiushikilia kuashiria ufunguzi rasmi wa Daraja la Kigamboni katika Wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam Aprili 19, 2016
3 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipata picha ya kumbukumbu viongozi wengine baada ya  uzinduzi rasmi wa Daraja la Kigamboni katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam Aprili 19, 2016
4 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiteta jambo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt Ramadhani Dau wakati wa  uzinduzi rasmi wa Daraja la Kigamboni katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam Aprili 19, 2016
5


c1e90399-29af-42ae-befc-e589d001d959

cb1b7676-dc39-43a4-9b95-f8bd4d789041
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na viongozi wengine wakitembea juu ya Daraja la Kigamboni baada ya kulizindua katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam  Aprili 19, 2016
1QSC

2Muonekano wa daraja la kigamboni lililofunguliwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli

RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA KUWASHUKURU WENYEVITI, MAKATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM WA MIKOA NA WILAYA ZA TANZANIA BARA NA VISIWANI IKULKU JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 21, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA KUWASHUKURU WENYEVITI, MAKATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM WA MIKOA NA WILAYA ZA TANZANIA BARA NA VISIWANI IKULKU JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 21, 2016

1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wenyeviti, Makatibu wa Chama cha Mapinduzi wa mikoa na Wilaya za Tanzania bara na Visiwani Ikulu jijini Dar es Salaam
2 Baadhi ya Wenyeviti wa CCM wa Mikoa mbalimbali wakipiga makofi kumshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati akitoa hotuba yake Ikulu jijini Dar es Salaam.
3Baadhi ya Wenyeviti wa CCM wa Mikoa mbalimbali wakipiga makofi kumshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati akitoa hotuba yake Ikulu jijini Dar es Salaam.
1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza kwa makini taarifa zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya Wenyeviti na Makatibu wa CCM kutoka mikoa mbalimbali nchini. Kulia kwake ni makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Philip Mangula na Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli.
2 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mtwara Mohamed Sinani Ikulu jijini Dar es Salaam
3 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Ally Mtopa Ikulu jijini Dar es Salaam
4Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM kutoka mikoa mbalimbali nchini mara baada ya kumaliza kuzungumza nao Ikulu jijini Dar es Salaam

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WATATU KUTOKA NCHI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 22,2019

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WATATU KUTOKA NCHI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 22,2019

1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake Francisco Montecillo Ikulu jijini Dar es Salaam. Balozi huyo wa Vatican alifika Ikulu kwa ajili ya kuagana na Rais Dkt. Magufuli mara baada ya kumaliza muda wake ya Ubalozi nchini.
2ssfgfs 
3Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mgeni wake Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake nchini Francisco Montecillo
5Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Vatican hapa nchini anayemaliza muda wake Francisco Montecillo Ikulu jijini Dar es Salaam
4eqeqeBalozi wa Algeria hapa nchini Belabed Saada akikabidhi ujumbe uliotoka kwa Rais wa Algeria kuja kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam.
6Balozi wa Algeria hapa nchini Belabed Saada akikabidhi ujumbe uliotoka kwa Rais wa Algeria kuja kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam.
8hdhjdhRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Canada hapa nchini Alexandre Leveque mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam
7 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Balozi wa Canada hapa nchini Alexandre Leveque wapili kutoka kulia pamoja na waakilishi wengine wa Serikali pamoja na Ubalozi wa Canada.

S African leftist leader threatens violence to oust Zuma

S African leftist leader threatens violence to oust Zuma

AFP |
File photo of Leader of South Africa's left-wing Economic Freedom Fighters (EFF) Julius Malema. (Reuters photo)File photo of Leader of South Africa's left-wing Economic Freedom Fighters (EFF) Julius Malema. (Reuters photo)
JOHANNESBURG: The firebrand head of South Africa's radical opposition Economic Freedom Fighters, Julius Malema, has warned he could seek to remove the government "through the barrel of a gun."

"We are not scared of the army. We are not scared to fight. We will fight," he told the pan-Arab Al-Jazeera network in an interview to be broadcast on Sunday.

Asked by the interviewer if that meant he was ready to take up arms, Malema said "Yeah, literally I mean it literally. We are not scared ..."

"We will run out of patience very soon and we will remove this government through a barrel of a gun".

The EFF has been demanding the ouster of President Jacob Zuma for several months, accusing him of corruption.

Late last month, South Africa's constitutional court ruled Zuma had violated the constitution in using public funds to upgrade his private residence and said he must repay the money.

EFF deputies regularly disrupt parliamentary sessions, sometimes shouting anti-Zuma slogans.

Leonardo DiCaprio tells leaders 'the world is now watching' at UN climate signing

Leonardo DiCaprio tells leaders 'the world is now watching' at UN climate signing

DiCaprio tells leaders 'the world is now watching' at UN climate signing Play! 01:08
Hollywood actor and environmental campaigner Leonardo DiCaprio urged world leaders signing the Paris climate deal on Friday to deliver on their commitments to cut greenhouse gases, telling them: "The world is now watching."
"You will either be lauded by future generations or vilified by them," said DiCaprio at the UN ceremony where 171 nations lined up to sign the landmark accord.
"We can congratulate each other today, but it will mean absolutely nothing if you return to your countries and fail to push beyond the promises of this historic agreement."
"Now is the time for bold, unprecedented action."
Oscars 2016: Leonardo DiCaprio's Best Actor speech Play! 02:25
The actor, who this year won his first Oscar for his portrayal of a frontiersman in "The Revenant," spoke in his role as UN Secretary-General Ban Ki-moon's "messenger of peace with a special focus on climate change."
The 41-year-old celebrity returned to the United Nations after delivering a much-watched address to world leaders during a UN climate summit in September that set the tone for the Paris accord.
DiCaprio said the record turnout at the signing ceremony was a sign of hope, but he argued that sticking to the Paris agreement would not be enough to confront climate change.
Leonardo DiCaprio attacks 'corporate greed' of oil, gas and coal companies at Davos 2016 Play! 01:20
"An upheaval, a massive change is required right now, one that leads to a new collective conscience," he said.
"Our planet cannot be saved unless we leave fossil fuels in the ground, where they belong," he said, drawing applause from the chamber.
"Look at the delegates around you," he added. "It is time to ask each other what side of history will you be on."
"After 21 years of debates and conferences, it is time to declare no more talk, no more excuses, no more ten-year studies, no more allowing the fossil fuel companies to manipulate and dictate the science and policies that affect our future."

Obama: EU Needs U.K.'s Leadership on Refugee Crisis

Obama: EU Needs U.K.'s Leadership on Refugee Crisis

22/04/2016_Lowe_Obama Cameron
Britain's Prime Minister David Cameron and President Barack Obama attend a press conference Friday in central London. Obama has urged Britain to remain in the EU. Ben Stansall/Reuters
President Barack Obama has urged the U.K. to stay in the European Union to help tackle Europe’s mounting refugee crisis—which he called a “major national security issue”—as part of a long-planned intervention in Britain’s upcoming EU membership referendum.
The president also addressed anti-EU campaigners who say that Britain could secure stronger trade links with the U.S. in the event of a “Brexit,” saying that the U.K. would be at “the back of the queue” for a trade deal with America if it left the bloc.
Subscribe now - Free phone/tablet charger worth over $60 At the core of Obama’s argument, laid out in a press conference in London on Friday, was a simple point: The U.S. wants to have a partner it can trust acting within Europe. Obama said he wanted British Prime Minister David Cameron “in the conversation” about how to handle migration into Europe from Africa and elsewhere because, “I want somebody who’s smart and common sense and tough, and is thinking as I do.”
As the president spoke, the two men stood side by side, working to reinforce an image of unity both political and personal. “David and I share an extraordinary partnership,” Obama said, after each man had discussed shared experiences, from international summits to games of table tennis.
Many in Britain’s pro-EU camp think their case will be bolstered by an endorsement from Obama, who enjoys extraordinary popularity in the U.K. Meanwhile, a demonstration of Cameron’s apparent importance to the leader of the free world could help to revive the pro-EU prime minister’s flagging poll ratings, which have taken a hit following near-daily attacks from popular “Brexit” advocates such as London Mayor Boris Johnson.
Johnson and other anti-EU campaigners have accused Obama of hypocrisy for recommending that the U.K. submit to impositions on its national sovereignty that they believe the president would never allow in his own country, and said Obama should keep out of a British debate.
Johnson also was accused of resorting to “dog whistle” politics when he claimed on Friday that Obama had had a bust of former British Prime Minister Winston Churchill removed from the Oval Office in part because of ”the part-Kenyan president's ancestral dislike of the British Empire.”
Obama had no time for either point. He acknowledged that it was for the U.K. to decide whether it left the EU, insisting he “was not coming here to fix any votes.” But, he said, many of the anti-EU lobby had been speculating about the U.S.’s likely behavior in terms of trading with a post-Brexit U.K., so “I figured you might want to hear it from the president of the United States what the United States is going to do.” He said a trade deal between the U.S. and Britain might well one day be negotiated, but it would not be America’s top priority.
As for Churchill: “Love the guy,” said Obama, who clarified that he continued to display a bust of Churchill outside his office, but had replaced the second bust his predecessor George W. Bush kept inside the office with a figure of Martin Luther King as a “reminder” of the “hard work” done by others that “allowed me to have the privilege of holding this office.”
Dominic Raab, a Conservative MP and a campaigner for Britain to leave the EU, said in response: “We want more international cooperation after we 'Vote Leave,' but EU is not fit for purpose and cannot cope with the multiple crises we face.
“The president made clear that uncontrolled immigration into the EU is a threat to national security,” he added. “I agree—that is why it is safer to take back control so that we can stop terror suspects from Europe coming into the U.K.”

How Many Civilians Has the U.S Killed in the War Against ISIS?

How Many Civilians Has the U.S Killed in the War Against ISIS?

RTS6UJ3
U.S. Air Force F-15E Strike Eagles taxi on the runway after landing at Incirlik Air Base, Turkey, on November 12, 2015. REUTERS/USAF/Tech. Sgt. Taylor Worley/Handout via Reuters
WASHINGTON (Reuters) - Twenty civilians were likely killed and 11 others injured in nine U.S. air strikes against Islamic State targets in Iraq and Syria between Sept. 10, 2015, and Feb. 2, 2016, the U.S. military said on Friday.
The deaths brought the number of civilians killed since the U.S. air campaign against the Islamic militants began in 2014 to 41, said Colonel Patrick Ryder, a spokesman for U.S. Central Command. He added that 28 civilians had been injured during that time.
Subscribe now - Free phone/tablet charger worth over $60 "We deeply regret the unintentional loss of life and injuries resulting from those strikes and express our deepest sympathies to the victims' families and those affected." Ryder said.
Eight civilians were killed during an Oct. 5 strike on a mortar firing position near Al Huwayjah, Iraq, Central Command said in a statement.
Separately, it said five civilians were killed on Dec. 12 in Ramadi, Iraq after they "unexpectedly moved into the target location after weapons were already in flight."
"In all of the cases released today, assessments determined that although the strikes complied with the law of armed conflict and all appropriate precautions were taken, civilian casualtiesunfortunately did occur," the statement said.
The U.S.-led coalition has carried out 11,539 air strikes against Islamic State as of April 12, with 7,794 in Iraq and 3,745 in Syria, according to U.S. military data.
"It is also important to highlight again Daesh's culpability due to their continued, cowardly tactic of hiding and operating among civilian populations," Ryder said, using the Arabic acronym for Islamic State.
Ryder added that 162 allegations of civilian casualties had been received, 112 of which were deemed not credible, since the beginning of the campaign.

Is Kim Jong Un About to Test Another Nuclear Bomb?

Is Kim Jong Un About to Test Another Nuclear Bomb?

04_23_Kim_Missile_01
North Korean leader Kim Jong Un watches a ballistic rocket launch in Pyongyang on March 11. U.S. and South Korean officials believe the North has developed nuclear weapons that threaten Japan and South Korea.North Korea's Korean Central News Agency (KCNA)/reuters
This article first appeared on The Daily Signal.
South Korea has announced that it is monitoring increased activity indicative of another nuclear test at North Korea’s Punggyi nuclear test site.
Subscribe now - Free phone/tablet charger worth over $60 The South Korean Ministry of Defense commented that Pyongyang has the capability to conduct its fifth nuclear test anytime. It is expected the test would occur before the important North Korean Workers’ Party Congress—the first in 36 years—scheduled for next month.
North Korean leader Kim Jong Un seems intent on proving his nuclear and missile prowess. Pyongyang conducted its fourth nuclear test in January and a test launch of its Taepo Dong ICBM in February. The regime subsequently released unprecedented information on the nuclear warhead, the re-entry vehicle, the solid-fueled second stage and the improved liquid-fueled first stage of the road-mobile KN-08 ICBM.
While some pundits dismiss a North Korean nuclear capability as still several years away, U.S. and South Korean officials have said that Pyongyang has developed nuclear weapons for its No Dong MRBM that would threaten Japan and South Korea. Moreover, the U.S. commanders of the Pacific Command, the North American Aerospace Defense Command and U.S. forces in Korea last year stated their belief that Pyongyang had the ability to target the continental United States with a nuclear ICBM.
After analyzing North Korea’s liquid-fueled rocket engine test on March 24, several nongovernment experts concluded that the KN-08 ICBM has a longer range than previously assessed.
The test showed that the KN-08 first stage uses Musudan rather than No Dong engines, along with a more capable fuel. That means the KN-08 would be able to reach throughout the U.S., including New York City and Washington, rather than just the Pacific Northwest.
Secretary of State John Kerry vowed, “It is still possible we will ratchet up [the pressure] even more” if North Korea conducts another nuclear test. Rather than showing resolve, the statement instead reveals that the Obama administration continues to pursue a policy of timid incrementalism, holding back measures for the next North Korea violation.
In February, the U.S. Congress passed the North Korean Sanctions and Policy Enforcement Act, in part due to bipartisan and bicameral frustration with the Obama administration’s limited actions in response to North Korean provocations. Congress made enforcement of some U.S. laws mandatory rather than discretionary to induce stronger administration action.
In March, President Barack Obama issued a new executive order that commendably expanded and enhanced U.S. ability to punish North Korean violators and third-party entities providing assistance. However, while the text is impressive and ominous sounding in its powers, as was the case with all previous executive orders on North Korea, its effectiveness ultimately depends on how strongly it is actually implemented.
The executive order’s accompanying list of newly sanctioned entities was underwhelming. It did not include a single North Korean entity involved in human rights violations, cyberactivity or censorship. The Obama administration still has not sanctioned a single North Korean human rights violator two years after the U.N. determined the regime had committed crimes against humanity.
Also absent from the sanctions list were any entities from outside North Korea. The Obama administration has been reluctant to go after Chinese entities that facilitate prohibited North Korean activity. Only by applying secondary sanctions on non-North Korean entities, including those in China, will U.S. targeted financial measures be fully effective.

Tuesday, April 19, 2016

Mwigulu Nchemba amaliza Ziara Mkoa wa Mara kwa Mkutano Mkubwa wa Hadhara

Mwigulu Nchemba amaliza Ziara Mkoa wa Mara kwa Mkutano Mkubwa wa Hadhara

Mwigulu Nchemba ahitimisha ziara yake mkoa wa Mara kwa mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika uwanja serengeti.

Katika mkutano huo ambao Mwigulu aliambatana na Mbunge wa Tarime kwa tiketi ya CHADEMA  Mh.Easter Matiko ambaye kwa nafasi yake aliwaambia wananchi serikali ya magufuli na mawaziri wake wanaonesha mfano wa kufanya kazi bila kunagua vyama,Kitendo cha waziri kufika katika jimbo hili na kuzungumza na wananchi ni dhahiri umoja unakwenda kutamalaki.

Akizungumza na wananchi wa Tarime mjini,Mwigulu chemba amewaambia wanatarime kuwa,mnada wa ng'ombe Magena unafanyiwa upembuzi ili serikali ijiridhishe na ama uendelee kufanya kazi au uhamie Kirumi.

Mbali na mnada huo,Mwigulu amewaeleza wanatarime kuwa wizara yake imejipanga kuboresha mfumo wa usambazaji wa pembejeo kwa wakulima,mfumo ambao utahakikisha wakulima kwa silimia kubwa kama sio wote wanapata fursa ya kunufaika pembejeo zenye ruzuku ya serikali.

Kwa upande wa ufugaji,Nchemba anasema,"huu ni muda muafaka kwa wafugaji kuachana na kufuga mifugo mingi isiyo na tija kubwa,nimeongozana na wataalamu ambao wanaandaa utaratibu wa kuwapatia wafugaji elimu na maeneo ya kufuga kwa kisasa "mifugo michache,tija kubwa".

Pamoja na hayo yote,wakulima na wafanyabiashara wa tarime wameaswa kuachana na "LUMBESA" wakati wa kuuza mazao yao.Lumbesa inamnyonya mkulima na ni lazima tuipige vita kuanzia kwetu sisi wakulima kabla mazao yetu hayajafika sokoni.

Picha za daraja la kigamboni.