Monday, June 8, 2015

CHADEMA RORYA VINARA 2015

 CHADEMA RORYA KINARA 2015.
Mwaka wa Chadema Mkoani mara kwani wamejipanga vya kutosha katka uchaguzi wa mwaka huu wa 2015.hayo yamebainishwa na kijana mchapakazi wa wilaya ya rorya BWANA Manyala Ojai wa kijiji cha maumau aliye jitokeza kugombea udiwani wa katani Kuwake. Pia tulipata nyepesi nyepesi ya kwamba Kuna wagombe wa ubunge Kupitia cha hicho chenya wafuasi wenge Jimboni hapo kaa nasi kupata yanayo jiriiiiii rorya maendeleo Kwanzaa. Ndivyo halivyo maliza msemaji watu

No comments:

Post a Comment