Friday, December 11, 2015

Duniani wawili wawili

Duniani wawiliwawili ! hawa walijitokeza wamefanana kimuonekano na Diamond, Ngwea, Balotelli, Bruno Mars na mastaa wengine by Millard Ayo Wakati tukiisubiria After Skul Bash ya December 12 2015 Escape One Mikocheni ambayo huwa inaandaliwa na XXL ya CloudsFM kila mwaka, nimechukua hii video ya moja ya events za After Skul bash ambayo huwa pia kwenye kila event kunatolewa zawadi kwa washkaji waliofanana na mastaa. Kwenye hii video hapa chini kuna vijana wa Tanzania waliojitokeza na kusema […

No comments:

Post a Comment