Friday, January 29, 2016

Uvamizi wa arthi yaendelea marasibora.

Wavamia arthi watua marasibora kwa kasi ambapo wamevamia arthi ndani ya kijiji hicho kilichopo Kata Kisumwa wilayani Rorya Mkoa Mara.tulipo fika kijijini hapo na kuongea na Mzee mmoja kwa jina Jackson Yohana aliyedai ni kijana mkumbwa wa familia ya mzee Yohana alisema haya toka mwaka 1987 kikao cha ukoo wa kasemo kilipo kaa baada ya Baba yangu kufariki na kunipa kusimamia Mali za Mzee Yohana ndipo nipoanza kazi hiyo na mpaka Leo naendelea kuvigawa kwa wajukuu na kwa wadogo zangu. Katika eneo la nyasuna katika kitongoji cha karama kuna MTU kajitokeza na kusema eneo nilake wakati mpaka Leo hii tunailima na maindi yangu yapo shambani mpaka Leo. Kijana huyu anasema kwamba eneo nilake na mpaka sasa kesi kapereka mahakama ya mwanzo na nilipo uliza mahakama kwanini kesi ya arthi isikilizwe hapa walijibu kwamba Mimi ni mvamizi wa eneo hili na kupelekea kesi kunishinda na nilipo Kata rufaa mpaka mahakama ya tarime na ukumu ukatoka kwamba nimeshinda nilipo omba nakala ya hukumu nikajulishwa kwamba nita pewa ilifika wiki mbili majibu nikakuta hukumu umebadilishwa na kuonyesha nimeshindwa naomba serekali ya Mzee j p magufuli kunisaidia kwani kijana huyu Marwa maguchi anapewa Pesa na Mjomba wake kijana wa Nyanguru ili kuonga na kuonyesha nimeshindwa kesi.

No comments:

Post a Comment