Sunday, May 3, 2015

MCHAWI 40 ZAKE HATIMAE LEO ZIMEFIKA.

MCHAWI 40 ZAKE HATIMAE LEO ZIMEFIKA.


MCHAWI MAARUFU ADONDOSHWA NA NGUVU ZA MUNGU VIJIJI VYA MSATA!

Makomandoo wa VHM wakiwa katika Operation ya kusambaratisha kazi za shetafajilini baada ya maombi mazito mama aliyekuwa na tumbo kubwa akidhaniwa ni mjamzito kumbe hakuwa na mimba yoyote. Baada ya maombi mazito chini ya usimamizi wa makomandoo ya Yesu kupitia VHM alijikuta akitapika meno ya mbwa, nywele na vitu visivyojulikana. Siku chache baadaye kutokana na nguvu ya maombi yaliyokuwa yakifanywa na makomandoo ya Yesu hapo kijijini saa 8.45alfajili mchawi aliyekuwa akiruka angani kuelekea Bagamoyo alivutwa na nguvu za Bwana na kujikuta akidondoka chini kutoka angani na hakuweza kufanya kitu chochote tena.
On the picture is the famous witch who was on the witchcraft plane. Having overwhelmed by the power of God, the journey was not successful for he fell down when trying to cross the air where the VHM team led by Pastor Peter Mitimingi (who is Tanzania GLS leader) was settled for prayer and ministry in Bagamoyo, Coastal region, Tanzania. After falling, he could not do anything.

No comments:

Post a Comment