Friday, June 5, 2015

PATA ELIMU KUHUSU KILIMO CHA TIKTIMAJI.

PATA ELIMU KUHUSU KILIMO CHA TIKTIMAJI.

Nikilimo kinacholimwa na wakulima wengi hapa tanzania na kuendelea kuwakwamua kiuchumi japo ELIMU imekua ni gumzo kwa wakulima hawa.
katika kijiji cha MARASIBORA wilayani RORYA mkoa wa MARA mkulima mmoja haliyefahamka kwa jina la OSUNGA YOHANA.hamepata kubainisha hayo katika maongezi yake wakati hakitoa ELIMU juu ya kuweza kunufaika na zao hilo halipokua kijini kwake.Pia Babu OSUNGA hametumia fursa hiyo kiomba serekali kuweza kupanga mipambo iliyo bora ili kuboresha KILIMO CHA ZAO HILO.

BWANA. BONIPHACE YOHANA pamoja na BARAKA JOSEPHAT wakiwa shambani kwao katka operesheni ya kilimo ni MAISHA KWA WOTE.


No comments:

Post a Comment