Wednesday, September 16, 2015

ACT WAZALENDO YAZINDUA KAMPENI ZAKE WILAYANI BAHI MKOANI DODOMA


ACT WAZALENDO YAZINDUA KAMPENI ZAKE WILAYANI BAHI MKOANI DODOMA

 Mgombea Mwenza wa chama cha ACT wazalendo Hamad Yusufu akizungumza na wakazi wa Mayamaya kata ya Zanka wilayani Bahi mkoa wa Dodoma kwenye mkutano wa kuomba kura alipokuwa akimnadi Mgombea Urais wa chama hicho Anna Mghwila, mgombea ubunge wa jimbo hilo Eva Kaka na madiwani wa kata mbalimbali.  Mgombea ubunge wa jimbo la Bahi Eva Kaka akimkabidhi fedha Mwalimu Joseph John mkazi wa Mayamaya kama kifuta machozi kutokana na mwalimu huyo kuunguliwa na majani kwa ajili ya malisho ya mifugo yake ambapo nyumba yake ilinusulika kuungua.
 Katibu wa Mipango na uchaguzi wa ACT Mkoa wa Dodoma, Alyoce Ambokile akifafanua jambo wakati alipokuwa akizungumza katika mkutono huo wa kuomba kura katika kata ya Zanka Mgombea Udiwani kupitia chama hicho kata mojawapo ya wilayani Bahi Anthon Lyamunda akiongea jambo kwenye mkutano huo   Kaimu katibu  Witness Peter na Mweka hazina wake Ldya Molel wa ACT mkoa wa Dodoma wakiwa kwenye mkutano huo uliofanyika wilaya ya Bahi mkoani DodomaViongozi wa ACT mkoa wa Dodoma wakipunga mikonoWamanchi wa eneo ilo wakifuatilaia kwa makini mkutano wa ACT
Vijimambo 

No comments:

Post a Comment