Friday, July 14, 2017

ACACIA kulipa mirabaha iliowekwa katika sheria mpya za madini

ACACIA kulipa mirabaha iliowekwa katika sheria mpya za madini

.Kampuni inayomiliki Makampuni ya Uchimbaji wa Madini ya ACACIA imesema italipa mirabaha iliowekwa katika sheria mpya za madini. 

Sheria mpya ya madini inawataka wawekezaji katka sekta hiyo kulipa asilimia 6 ya mirabaha ikiwa ni ongezeko la asilimia 2 zilizokuwepo awali, ambapo asilimia 1 ni kwaajili ya usafirishaji kwenda nje. 

No comments:

Post a Comment