Thursday, April 16, 2015

CCM,CHADEMA+UKAWA YANYOSHA MKONO KWA ACT.

ACT Yazidi kutishia maisha ya viama vingine ka ukawa na umoja wake kwani toka safari yao kuanza ya kuzunguka mikoa kumi ikiwa ni miongoni mwa viama vipya hapa nchini. kwa sasa chadema,cuf,nccr,na hata CCM tayari wamepatwa na mtero wa kushindwa kutambua kinacho tendeka chini ya mwavuli wa ACT.
KIONGOZI WA ACT ZITO KABWE 




No comments:

Post a Comment