Saturday, June 20, 2015

LOWASSA LEO IRINGA MAPOKEZI NI ZAIDI YA RAIS.

Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli
amedhihirisha nguvu kubwa na utajiri wa watu aliyonao,
baada ya kupata mapokezi makubwa Mkoani
Iringa.Lowassa amewasili Iringa asubuhi hii akiongozana
na wabunge karibu wote wa mkoa wa Iringa,kwa ajali ya
Harambee ya ujenzi wa kanisa na Kituo Cha radio Cha
overcomers.viongozi wote wa Chama tawala Mkoani Iringa
na Serikali nzima imempokea Mh Lowassa.

No comments:

Post a Comment