Tuesday, July 21, 2015

Bado siku tatu Obama kutua kenya pata yanayojiri......


CHECK NA MIMI KWENYE TWITTER
#TZA Siku tatu kabla ya Obama kutua haya
yameendelea kushuhudiwa Nairobi leo, ingia hapa
uione stori yote na... fb.me/3BT8qx4zN
millard ayo
@millardayo
Show Summary
23m
Tweet to @millardayo
#TAGS
MAGAZETI MAGAZETI PB DUNIANI HEKAHEKA
255 DIAMOND PLATNUMZ U HEARD
BONGOFLEVA AYOTV KENYA AJALI
STORI KUBWA MAGAZETI TOPNEWS
BONGOMOVIE VIDEO MPYA ZARI ALI KIBA
STORI PEKEE WEMA SEPETU
HOME NIFAHAMU WASILIANA NAMI
MATANGAZO TEAM
KWANINI SHEDDY CLEVER KAMBLOCK RICH MAVOKO
INSTAGRAM?
MANENO YA ABDU KIBA KUHUSU ALI KIBA NA DIAMOND
PLATNUMZ
ZILIZOSOMWA SANA
MGAWANYO WA STORI
RELATED ITEMS KENYA
Ijumaa July 24 2015 Kenya itashuhudia kutua kwa Rais
Obama kwa mara ya kwanza tangu awe Rais wa Marekani…
Wamarekani wanajali sana kuhusu Usalama wa Rais wao,
tulisikia ishu ya kutua kwa wanausalama wa kutosha pamoja
na magari ambayo yalianza kushushwa zaidi ya mwezi
mmoja kabla ya siku ya Obama kutua.
Bado leo Viwanja vya Michezo vya Chuo Kikuu cha Kenya
zimeshuhudiwa Helicopter kadhaa za wanausalama zikitua
na kuruka kuzunguka anga la Nairobi… waliobebwa humo ni
makomandoo ambao nao wameshushwa kuhakikisha
hakiharibiki kitu kwenye ishu ya Usalama wa Rais wao.

No comments:

Post a Comment