Monday, July 20, 2015

JINSI YA KUONGEZA KIPATO WAKATI WA MASOMO.

JINSI YA KUONGEZA KIPATO WAKATI WA MASOMO.
 wajua  nijisi gani waweza kufanya shuguli za kilimo wakati wasoma chuo kikuu?
1.Akikisha kwamba umepanga tatiba yako vizuri.

2.Panga kuto kukaa bila kufata ratiba yako .
3.ogopa makundi ya starehe  yasiyo na tatiba ya zihada bahada ya vipindi kwisha.
4. hakikisha bustani au shamba lako kila siku inapata huduma toka kwako.

No comments:

Post a Comment