Tuesday, July 21, 2015

Mkulima wa mfano mkoani Mara.

Mkulima wa mfano mkoani Mara.
  
Mkulima wa  matikiti maji aweza kubadilisha maisha yake. Akikagua shamba la mkulima huyo wa kijiji cha MARASIBORA kata ya KISUMWA mkoa MARA KAIMU AFISA MANUNUZI WA WILAYA YA TARIME. BW. BONIPHACE YOHONA.Alisema, pamoja mkulima huyo bwana OSUNGA YOHANA mwenye matatizo ya mkono mmoja ni mkulima wa kuigwa katika kijiji hicho.


No comments:

Post a Comment