Tuesday, July 21, 2015

Magufuli kupandisha bei za kofia .

Kofia za dizaini hii. yazidi kupanda bei bahada ya mgombea wa ccm dr.john pombe magufuli kuonekana kulipenda sasa vazi hili kutokana na sifa za kiongozi huyo mwenye uwezo wa kukariri na kutunza kumbukumbu kwa hali ya juu zaidi vazi lake hilo limeonekana kuwa adimu sana toka kuchaguliwa na ccm .

No comments:

Post a Comment