Tuesday, July 5, 2016

BUNGE LA VIJANA 2016 LAAPISHWA MJINI DODOMA


OW1Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano Ofisi ya Bunge, Owen Mwandumbya akihutubia alipokuwa akizundua rasmi Bunge la Vijana la mwaka 2016, katika Ukumbi wa Pius Msekwa, mjini Dodoma jana. Mkutano huo ni wa tatu toka kuanzishwa kwa Bunge la Vijana chini ya mradi Legislatures Support Project(LSP). Picha na Ofisi ya Bunge.
OW2Wabunge wa Bunge la Vijana la mwaka 2016, kutoka Vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu wakila kiapo cha utii baada ya kuanza kwa mkutano wa tatu wa bunge hilo, mjini Dodoma. Picha na Ofisi ya Bunge.
OW3Spika wa Bunge la Vijana, Regnald Massawe (kushoto) kutoka Chuo cha Uhasibu Arusha akimuapisha Stella Wadson-kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii kuwa Naibu Spika wa Bunge hilo baada ya kuanza kwa mkutano wa tatu wa Bunge la Vijana la mwaka 2016, mjini Dodoma. Picha na Ofisi ya Bunge
OW5Wabunge wa bunge la vijana kutoka vyuo mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa bunge hilo.

No comments:

Post a Comment