Friday, December 18, 2015

Anayetaka nafasi ya jose mourinho

Anayeitaka nafasi ya Jose Mourinho ni huyu hapa by Jesca TZA Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Chelsea kwa sasa haina kocha baada ya kumfukuza kazi kocha wao mkuu Jose Mourihno. Headlines za sasa zimemgeukia kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Ulolanzi Guus Hiddink ambye ametajwa kukaimu nafasi ya Mourihno na tayari amesafiri kwa ndege leo kwenda kufanya mazungumzo na uongozi wa klabu

No comments:

Post a Comment