Thursday, December 17, 2015

Davido na agness masogange

Haya ndio majibu ya Davido kuhusu ujauzito wa mrembo Agness Masogange! by Sandra Brown TZA Wiki moja iliyopita, Mtanzania Agness Masogange alikuwa topic kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya post yake kwenye Instagram kuzua mjadala mkubwa na kuibua uvumi mkubwa sana kati yake na Davido staa wa muziki kutoka Nigeria. Masogange alipost kipimo cha ujauzito kwenye page yake ya Instagram, post iliyoibua mjadala mkubwa Nigeria na Tanzania na kuacha […

No comments:

Post a Comment