Thursday, December 17, 2015

Kilichomkuta kocha jose mourinho

Kilichomkuta kocha Jose Mourinho baada ya matokeo mabaya mfululizo… by Jesca TZA Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England, Chelsea wameendelea kuwa na bahati mbaya baada ya kuendelea kupata matokea mabaya mfululizo. Kilichonifikia ni kuhusu kocha wa klabu hiyo ya Uingereza kufutwa kazi baada ya kuendelea na matokeo mabaya mfululizo. Bodi ya klabu hiyo chini ya mmiliki wa klabu hiyo, Roman Abramovich ilikuwa na kikao kizito jana

No comments:

Post a Comment