Wednesday, December 16, 2015

Yaliyompata minaji

Nicki Minaj alipigwa STOP kuperform Angola jumamosi hii! Show itaendelea?! by Sandra Brown TZA Msanii kutokea Marekani, Nicki Minaj jana alizandika headlines kwenye kurasa za burudani baada ya taarifa kusambaa kuwa amepigwa stop kwenda kutoa show Angola jumamosi ya tarehe 19 December wiki hii, kutokana na Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Angola kupinga kufanyika kwa show hiyo. Wanaharakati hao walimuandikia Nicki Minaj barua kumuomba rapper huyo asitishe show

No comments:

Post a Comment