Thursday, December 17, 2015

Kidumu kaokoka

Ni kweli Kidumu ameokoka? nini hasa kilitokea? majibu yote ninayo hapa by Millard Ayo Jina lake lilianza kutajwa na Watanzania wengi kupitia hit single zake kama ya 'haturudi nyuma' ft Juliana ni miaka imepita toka wimbo wake wa mwisho uwe kwenye TOP 10 ya Radio za Tanzania, sasa juzi zikatufikia habari kwamba Kidumu ameokoka na sasa hatoonekana akiimba muziki tuliozoea kumuona nao, ni kweli? ni kitu gani kilitokea hasa? […

No comments:

Post a Comment