Wednesday, May 18, 2016

Mwana Chuo Mzumbe ajifungua mtoto na kumuua kwenye ndoo

Mwanafunzi wa chuo cha mzumbe ajifungua salama mtoto kamuua na kumuweka kwenye ndoo kisha akapoteza maisha muda mfupi baada ya kutokwa na damu nyingi na kukosa msaada. Jamani tijitahidi sana sana kuongea na watoto wetu na kuwafundisha pia tuwaombee kila siku. Mungu awalinde watoto wote hapa duniani awaepushe na mabaya yote Amen

No comments:

Post a Comment