Tuesday, May 17, 2016

Rais Mugabe awa babu Zimbabwe

Rais Mugabe awa babu Zimbabwe

  • Saa 3 zilizopita
Image copyright Reuters
Image caption Mugabe ameongoza Zimbabwe tangu 1980
Kiongozi wa muda mrefu wa Zimbabwe Robert Mugabe, 92, amekuwa babu rasmi.
Hi ni baada ya bintiye wa pekee Bona Chikore kujifungua mtoto mvulana katika hospitali moja nje ya nchi hiyo.
Bi Chikore alijifungua mtoto huyo mwezi uliopita, gazeti la serikali la Herald limeripoti.
Image copyright RIA Novosti
Bw Mugabe amesema mkewe Grace kwa sasa yuko pamoja nab inti huyo wao na mjukuu wao na kwamba watarejea Zimbabwe mwezi ujao.

No comments:

Post a Comment