MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA ARDHI KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi akijibu hoja bungeni wakati wa mapitio ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ardhi kwa mwaka wa fedha 2016/2017
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Lukuvi na Naibu wake Mhe.Angeline Mabula , wakifuatilia hoja za wabunge wakati wa mapitio ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ardhi kwa mwaka wa fedha 2016/2017.
Naibu Waziri wa Ardhi Mhe. Angeline Mabula akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara Dkt. Yamungu Kayandabila Nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara ya Ardhi kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017
Mhe. William Lukuvi Waziri wa Ardhi na Naibu Waziri Mhe. Angeline Mabula wakiwa na baadhi ya watendaji wa Wizara Nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara kupitishwa na bunge kwa mwaka wa fedha 2016/2017.