Monday, July 18, 2016

WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YAENDELEA NA UTATUZI WA MIGOGORO

WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI YAENDELEA NA UTATUZI WA MIGOGORO

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Mabulla akisisitiza jambo alipokutana na wananchi Wilayani Bukoba na kupokea kero zao zinazohusu sekta ya ardhi.
Kamishna wa Ardhi Msaidizi kanda ya ziwa Joseph Shewiyo akitoa ufafanuzi juu ya sheria, kanuni na taratibu zinazotumika katika kutoa huduma kwa wananchi kwenye mkutano wa kupokea kero za sekta ya Ardhi Wilayani Bukoba. Kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Ardhi Mhe. Angelina Mabulla na katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba Richard Mihayo
Mwananchi aliyefika katika Mkutano akitoa kero yake kwa Mhe. Angelina Mabulla ,Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi alipokutana na Wananchi katika Ukumbi wa St. Francis Manispaa ya Bukoba.

No comments:

Post a Comment