Monday, July 18, 2016

NAIBU WAZIRI WA ARDHI, MHE. ANGELINA MABULA ATEMBELEA BANDA LA WIZARA KATIKA VIWANJA VYA SABASABA 2016.

NAIBU WAZIRI WA ARDHI, MHE. ANGELINA MABULA ATEMBELEA BANDA LA WIZARA KATIKA VIWANJA VYA SABASABA 2016.

Naibu Waziri wa Ardhi, Mhe. Angelina Mabula akisikiliza maelezo juu ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu zilizobuniwa na Wizara kupitia kwa wataalamu wa Idara ya Nyumba.
Mhe. Angelina Mabula akisaini kitabu cha Wageni alipotembelea banda la Wizara ya Ardhi katika maonyesho ya sabasaba 2016
Naibu Waziri wa Ardhi, Mhe. Angelina Mabula akihojiwa na waandishi wa habari alipotembelea banda la Wizara katika viwanja vya sabasaba 2016
Naibu Waziri wa Ardhi, Mhe. Angelina Mabula akiwa na baadhi ya washiriki katika banda la Wizara alipotembelea maonyesho ya sabasaba 2016
Afisa Ardhi, David Malisa akisikiliza wananchi waliofika katika katika banda la Wizara ya Ardhi ili kupata huduma mbalimbali pamoja na elimu ya masuala ya Ardhi

No comments:

Post a Comment