Monday, July 18, 2016

MKUTANO MKUU WA TATU WA BODI YA USAJILI WA WATAALAM WA MIPANGOMIJI

MKUTANO MKUU WA TATU WA BODI YA USAJILI WA WATAALAM WA MIPANGOMIJI

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Yamungu Kayandabila afungua Mkutano Mkuu wa Tatu wa Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji.

Baaadhi ya wataalamu wa mipango miji wakiwa katika Mkutano huo

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Yamungu Kayandabila akikagua maonesho ya Mipangomiji mara baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Tatu wa Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji.

No comments:

Post a Comment