Monday, July 18, 2016

UKUSANYAJI WA MAONI YA KUBORESHA SERA YA TAIFA YA ARDHI YA 1995 KANDA YA ZIWA.

UKUSANYAJI WA MAONI YA KUBORESHA SERA YA TAIFA YA ARDHI YA 1995 KANDA YA ZIWA.

 

Mjumbe wa Kamati ya kukusanya maoni ya kuboresha Sera ya Taifa ya Ardhi ya 1995 Bw. David Malisa akimpa maelekezo jinsi ya kujaza Dodoso la Kukusanya Maoni Mkazi wa Kijiji cha Nyanguge Magu-Mwanza.

Betha Muluu Afisa Ardhi na Maliasili wilaya ya Ngara mkoani Kagera akitoa maoni yake kwenye Kamati ya kukusanya Maoni ya kuboresha Sera ya Taifa ya Ardhi ya 1995 ilipokuwa mkoani Mwanza.

NAIBU WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI MHE. ANGELINA MABULA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA ARDHI

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Yamungu Kayandabila akimkaribisha Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Mabula kwenye mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara hiyo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Shirika la Nyumba Upanga jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Mabula akihutubia wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Ardhi, kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Shirika la Nyumba Upanga jijini Dar es salaam
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi waliohudhuria mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Shirika la Nyumba Upanga jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment