Friday, June 17, 2016

NAIBU SPIKA AKUTANA NA UJUMBE WA WABUNGE KUTOKA BUNGE LA CHINA


 Naibu Spika Dkt Tulia Ackson akisalimiana na Kiongozi wa Msafara wa Ujumbe wa Wabunge wa Kamati ya Mambo ya  Nje kutoka Bunge la China ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe  Zhang Haiyang wakati alipofanya mazungumzo na Kamati hiyo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
 Naibu Spika Dkt Tulia Ackson akizungumza na Ujumbe wa Wabunge wa Kamati ya Mambo ya  Nje
kutoka Bunge la China
  kushoto  ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe  Zhang Haiyang ambaye pia ni Kiongozi wa
Msafara huo.
 Kiongozi wa Msafara wa Ujumbe wa Wabunge wa Kamati ya Mambo ya  Nje kutoka Bunge la China ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe  Zhang Haiyang (katikati) akisanini Kitabu cha Wageni alipomtembelea Naibu Spika Dkt Tulia Ackson ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma.
 Kiongozi wa Msafara Ujumbe wa Wabunge wa Kamati ya Mambo ya  Nje kutoka Bunge la China ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe  Zhang Haiyang  akimkabidhi Naibu Spika Dkt Tulia Ackson zawadi mara baada ya kuzungumza nae ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma.
Naibu Spika Dkt Tulia Ackson akiangalia zawadi aliyopewa na  na Kiongozi wa Msafara Ujumbe wa Wabunge wa Kamati ya Mambo ya  Nje kutoka Bunge la China ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe  Zhang Haiyang
mara baada ya kuzungumza nao ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma.
(Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

Post a Comment