Friday, June 17, 2016

WAZIRI MKUU, MHE. KASSIM MAJALIWA AWAFUTURISHA WABUNGE WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


   Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakipata futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa na kufanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Naibu Spika wa Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiwaongoza wabunge kupata futari iliyoandaliwa na Wazri Mkuu wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa na kufanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt Tulia Ackson akitoa neno la shukrani kwa Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa mara
baada ya futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
 Mwenyekiti wa Bunge na Mbunge wa Ilala (CCM), Mussa Azzan Zungu akitoa neon la shukrani kwa Wazri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa
Majaliwa mara baada ya futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu na kufanyika katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
 Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Mhe. Andrew Chenge akitoa neon la shukrani kwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa
mara baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu na kufanyika katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
 Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa akisikiliza neon la shukrni kutoka kwa Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia
Ackson mara baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu na kufanyika katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa akiwashukuru wabunge wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania mara baada ya kujumuika naye katika futari aliyowaandalia leo na kufanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment