Saturday, June 18, 2016

UFUNGUZI WA MKUTANO WA WAIJILISTI NDANI YA MTAA WA KIHESA.....

 karibuni sana katika mkutano wa waijilisti ndani ya mtaa wa kihesa

hapo ni kwaya ya ngome wakimba katika ufunguzi wa mkutano

wapo makini sana kwaya ya ngome

mwl. wa kwaya ya ngome bw.Manoko 

washiriki makini katika mkutano makini 

bw.GILDAF katika kinanda siku ya kufungua mkutano




mzee wa kanisa la ngome mzee mtango pamoja na mzee uwagire pamoja na muhubiri mkuu katika mkutano katka ufunguzi wa mkutano 






mass kwaya wakiongozwa na bw.Manoko katika ufunguzi


karibuni katika mahubiri haya kwani Mungu pamoja na watumishi wake wapo hapa katika 

No comments:

Post a Comment