Friday, April 15, 2016

CHILDREN'S PRAYER BREAKFAS.

CHILDREN'S PRAYER BREAKFAS.

RORYAMAENDELEO 

 Hili ni tukio linalofanyika kwa mara ya pili hapa Mwenge Kanisani ikiwa ni mojawapo ya matakwa ya Idara ya Watoto. Tukio hili huandamana na kujifunza umuhimu wa maombi kwa watoto na vipindi vya kutosha vya kuomba pamoja kuimba na ushuhuda. Tukio hili lililoanza saa 12 alfajiri na kuhitimishwa saa 4 asubuhi, mara hii limesimamiwa na Mkurugenzi wa Idara hiyo wa Konferensi (ETC) Bi Devotha Shimbe. Tukio hili lilihitimishwa na kushiriki kifungua kinywa cha pamoja. Hapa chini ni baadhi ya picha za tukio hilo.
Na Stephen Letta









No comments:

Post a Comment