Friday, April 15, 2016

UFUNGUZI WA HUDUMA YA AFYA KWA JAMII KWA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA NA MIKOA JIRANI

Haya ni baadhi ya matukio katika picha ya sherehe kubwa ya ufunguzi  na uzinduzi wa kampeni ya afya kwa wakazi wa jiji la Mwanza na hata mikoa jirani hasa kanda ya ziwa. Huduma hii ni ya siku mbili na kufuatiwa na mahubiri yatakayoanza Jumapili ya tarehe 31 mwezi huu wa 8.
Kikosi cha vijana cha watafuta njia wakipita kwa mwendo wa haraka huku wakitoa hesima mbele ya mgeni rasmi
Kikosi cha vijana cha watafuta njia wakipita kwa mwendo wa haraka huku wakitoa hesima mbele ya mgeni rasmi
Eneo la shughuli katika uwanja wa michezo wa CCM Kirumba jijini Mwanza
Sehemu ya wahudhuriaji wa tukio hilo
Dkt. Bhangi, mganga mkuu wa mkoa wa Mwanza akiongea na mkutano kwa niaba ya mgeni rasmi mkuu wa mkoa wa Mwanza
Sehemu za huduma za Afya zikiendelea
Mtaalamu wa afya Dkt. Obeid Kabinza akiendelea na huduma ya afya

No comments:

Post a Comment